Hakuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume...
Kikubwa ni Kula Vizuri, Fanya Mazoezi, Kisha Pumzisha Mwili Wako.
Ukizingatia haya Uta Perform sana ukiwa Faragha na mwenzi wako...
Naomba Kutoa Hoja.
Habari za muda huu ndugu wanajamvi wa JF.
Naombeni kuuliza kwamba ni nani kati yetu aliyepata increment ya salary kwa watumishi wa umma mwezi huu wa September?
Naomba kutoa hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.