Habari walimu.Mimi ni mwalímu nipo elimu idara ya msingi halmashauri ya mji bàriadi -simiyu nahitaji mtu wa kubadilishana naye Mimi nije pwani , morogoro au dar.Namba za simu 0745388532
Habari walimu.Mimi ni mwalímu nipo elimu idara ya msingi halmashauri ya mji bàriadi -simiyu nahitaji mtu wa kubadilishana naye Mimi nije pwani , morogoro au dar. Njoo PM kwa mawasiliano zaidi.
Habari,
Hivi SERIKALI inapopandisha bei za nauli MISHAHARA nayo inaangaliwa? Watu bidhaa wanafaidika kwa kuongeza bei lakini mishahara ipo palepale mfano sukari ilipopanda haikushuka ilipo. Tofauti ya kuoanda ni kubwa.
Wiki hii mmetangaza kupanda kwa nauli lakini hali za mishahara kwa sisi...
NILISHAWAHI KUTANA NA HIDDEN KWENYE DALALA KINYEREZI .NILIPOMUONA NIKAMLIPIA NAULI KIMSINGI ALIKUWA KWENYE MAISHA MAGUMU SANA NI MIAKA MIWILI ILIYOPITA .KISA KIKUBWA NI MKE WAKE NA ALIUGUA NUSU KUFA KISA MALI KATI YA YEYE NA MKE WAKE (ALINIELEZA MENGI SANA KWA KIPINDI KILE WHATSAPP HAIKUWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.