Jaman, nina kasweet bebii kangu sasa nmepata bonge la danga sa ntakaa kulichuna bila sweetibebi wang kujua. naomba ombeni ujuzi kuhusu hilo [emoji115] nataka nianze kazi racmiii maana kuna vibuzi vina shoboka na vipesa vyao lkn me ctak bae wangu ajue maana hatujamaliza hata waki af ndo ivo...
ikitokea umempatia mtoto jina af mwenye jina alikua mganga na anahtj mtoto yule akabiziwe vitu lakn nyie kama familia hamjaligundua hilo na mnakuja kugundua baada ya mtoto kupatwa na masaibu yanayowafnya kwenda kwa mganga mganga anawambia hakuna mtu alomchezea mtoto wenu bali ni jina mkifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.