Recent content by Beberu_

  1. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Tunaodaiwa pesa au mali fulani tuna msongo wa mawazo

    Ishu ni kudaiwa, haijalishi ni shingapi. kuna mtu ana daiwa 10K lkn ndani hakulalikiii kabisa, kwahiyo ndugu yangu jitahidi ulipe haraka iwezekanavyo maana hao ndugu watakufanya ushindwe hata kufikiria
  2. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Rangi za nembo ya Kombe la Dunia 2026 zatabiri bingwa

    Portugal to win 2026 world cup ,per conspiracy theoriesss... weka mpunga..Binafsi nshatiaa mshahara wangu wa June
  3. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufikia hatua ya kuzima simu kwa siku nzima au zaidi kukwepa calls na messages ?

    Dawa ya deni ni kulipa😄😄😬BINAFSI NSHAACHANKUONEA HURUMA WATU.. MDA WANA SHIDA WANKUA WAPOLE .. WAKIPATA MDA WAKURIDISHA UTAIMBA NYIMBO ZOTE SHUBAMIIT ZENU😄
  4. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Tangu tumepata uhuru Patrobas Katambi ndio waziri wa hovyo kupata kutokea

    Mboga mboga wametufikisha hapa
  5. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Tangu tumepata uhuru Patrobas Katambi ndio waziri wa hovyo kupata kutokea

    MafamNchii yetu tunashida ya viongozi
  6. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    Dah ncheki ata mimi sio ndugu, mtasumbuana badae
  7. Beberu_

    JamiiForums Tanzania Ukiacha pesa, ni kitu gani kingine kikubwa ulichowahi kupoteza ukapunguza kubeti?

    Kamali iheshimiwe😧😞😬. Pale.ambapo unakua unashida na hela ndioo kanji nae anashida na io hela yako, kwahio huo mchezo uacheni tu Kama ulivo.. Endelea kuona watu wakizidi kutajirika kwasababu ya kamali, usifate mkumboo. Hao wazee wa stake high hawategemei hela ya mishahara sijui hela ambayo...
  8. Beberu_

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Hili swala.la.umeme kukatika linakera sana aise..Kama tupo miaka ya 2000
Back
Top Bottom