Recent content by Beberu

  1. Beberu

    Inakuwaje hadi watu 155 wanafariki Kwa mafuriko, wananchi hatupewi taarifa, hadi Waziri Mkuu atuhabarishe?

    Sometimes usikute wewe ndo hujafuatilia, hivo vifo from Hanang
  2. Beberu

    Bilioni 19.7 kukarabati uwanja wa Uhuru

    Huo wa uhuru waufanye maalumu kwa soka, watoe zile running tracks
  3. Beberu

    Vijana wenzetu wenye ajira na mishahara mizuri, how it feels up there?

    Mshahara mzuri ni sh ngapi mkuu
  4. Beberu

    Nimelipwa deni langu Tsh. Milioni 1.3 baada ya miezi 6. Nifanye uwekezaji gani?

    Mwenyewe nimeshangaa, mtu mwenye nyumba, gari hawez shindwa manage 1.3M, labda ingekuwa 10M + tungesema saw
  5. Beberu

    Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

    Ushawahi sikia siku polisi wanatangaza mtu kafa hana ndugu? Watu kibao wanakufa wanazikwa na halmashauri kimya kimya bila kelele
  6. Beberu

    Umewahi kuingiliwa biashara na jirani / mshindani anaeuza kwa bei za chini mno ili kukuibia wateja, kukuondoa, kukuumiza , n.k. ulitoboa?

    Sawa, endelea kuvunja bei tu, Hio njia mtaishia kutoana damu na washindani wako, mwisho wote mfirisike, hakuna alietoboa kwa kuuza vitu kwa kuvunja bei, Vunja bei mwenyewe zile jeans zake za 18k huku mtaani ni 17k
  7. Beberu

    Askari Polisi aliyestaafu baada ya kufanya kazi miaka 30 analipwa kiinua mgongo Tsh. 18M ambacho ni sawa na mshahara wa mwezi mmoja wa Mbunge?

    Hulipwi kisa mbunge analipwa kiasi fulani, unalipwa kwa kazi uliyofanya
  8. Beberu

    Umewahi kuingiliwa biashara na jirani / mshindani anaeuza kwa bei za chini mno ili kukuibia wateja, kukuondoa, kukuumiza , n.k. ulitoboa?

    Hii mbinu itafanya upate hela ya kula tu, na kulipa kodi, hata kujenga hutajenga
  9. Beberu

    Emergency fund: Unatumia njia ipi kujiwekea aina hii ya akiba?

    Hela ya miaka mitatu mkuu si pesa ya mtaji, mana si chini ya 20M kwa mtu mwenye familia,
  10. Beberu

    Ukiachana na Pesa, unahitaji nini sasa hivi?

    Nahitaji pesa nilizoachana nazo 😂
  11. Beberu

    Watumishi wa umma tulionyimwa mshahara wa Machi kwasababu ya PEPMIS tumeumaliza mwezi salama, hatujawa ombaomba

    Hahahaha uzembe wenu bana, bongo hadi vitu vidogo mnataka mfundishweeee kama watoto wadogo, Katika hili serikali imefanya vizuri sanaa
  12. Beberu

    Ndugu zetu TANESCO, tatizo nini tena?

    Watanzania tu wavivu sana wa kutafuta habari, Hili swala lilisemwa mapema sanaa
  13. Beberu

    Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

    Malizia story ndugu mbunge
  14. Beberu

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Sasa hapo ambacho sio normal ni nin?
Back
Top Bottom