Recent content by Bebbe Mbangue

  1. B

    Kwanini hotuba za Rais Kikwete zinakosa mvuto?

    Kikwete huwa hatoa mawazo yake hata punje kwa wasaidizi wake katika uandikaji wa speech zake. Yeye data zote anatafutiwa. Hatoa hata dokezo. Kuna baadhi ya viongozi wenye uwezo wa kuandika speech kwa vidole vyao wenyewe kama vile marehemu rais wa Malawi Mutharika!
  2. B

    Elimu za malezi na ndoa kwa graduates/wanachuo ni muhimu.

    Habari za wakati huu wanajamii Wenzangu. Mimi kama mmoja ya wadau wa elimu na masuala ya kijamii nina maono flani nataka kuyafikisha kwenu kwa ushauri na upembuzi zaidi. Kwa nini serikali ama vyuo vya elimu ya juu visianjishe masomo ya elimu ya malezi ya watoto na vijana pamoja na ndoa kwa...
  3. B

    Elimu za malezi na ndoa kwa graduates/wanachuo ni muhimu.

    Mbona wachangiaji wachache? Au mpaka kuwe na mada za udaku na umbea wa kisiasa ndio watu wanachangia sana?
  4. B

    Huyu baba ni muhuni sana please help!

    Alafu uhuni sio mpango kwa baba mtu mzima unapokuwa na vijana wakubwa ndani kwao. Ni bora hawa wazee wetu wakaanza kujiheshimu kabla hatujaanza kuwaponda na mawe!
Back
Top Bottom