Yeah this is so right!
Kama hutaki kuoa its fine tutaolewa na wanaotaka...
Using'ang'anize watu wote wakatae ndoa.
Unaez kuta ni watu wenye trauma zao za udogoni wamezaliwa kwenye familia zilizo na mpasuko.
Hawajawahi kuona what a good famy is.
Mm naona wanaume wengi wanakataa ndoa kigezo kikiwa ni fedha.
Okay sawa msijali tutawaoa na kuwalisha kama vipi...
Kubali ndoa ndo mpangoo wapo wanawake wanaojielewa na wanaoweza kufanya kazi na kuleta maendeleo..
Ww unaenda kuoa mtu aiseleweka unakuja kujilalamisha
I wonder why unashangilia hivyo kitu ambacho ulipaswa ukae chini ujitathimini kama mwanaume.
Na kwa huo mwelekeo ulionao inaonekana kwa part kubwa umechangia hiyo ndoa kuvunjika
Nakusihi uwe mkweli na umwambie huyo secretari. Kua unampenda mkeo
Maana uhusiano wa nje ya ndoa mara nyingi huishia pabaya saana
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.