Hivi ni single mothers tu ndio wana maEx?? Wewe huyo Ex wako unayempenda hadi kesho kiasi kwamba akirudi huchomoi umemzalisha?? Tena nyie ndio hua mnapigiwa wake zenu hadi mnalea watoto wa watu mkijua ni wenu.
Habari tena wadau.
Natafuta kijana mkazi wa Dar es Salaam, kazi yake itakua ni kutafuta tenda ya kubeba mizigo kwenye makampuni na viwandani kwa kutumia malori. Elimu kuanzia certificate, mwenye uzoefu katika usafirishaji.
Anahitajika mdada anaejua masuala ya saloon. Ajue kusuka mitindo yote hasa yeboyebo. Saloon ipo Tabata Segerea. Itapendeza zaidi akiwa anaishi Tabata. Malipo ni maelewano. Email ya mawasiliano ni.. lulandala7@gmail.com
We acha hizo bwn. if u dnt wnt to help thn keep quite coz being a university student doesnt mean that u have evry thng. so my young doest have a phone/laptop whch supports internet, and i have a phone with internet thts y um helping. acha fikra mgando.
Mdogo wangu yupo mwaka wa pili Chuo cha Mzumbe, Kozi ya "Procurement and Logistic Supply'. Naombeni msaada wenu. Field zinaanza mwezi wa saba. lakini barua za kuombea zimetoka. Asanten
Sion kosa la huyu mtoto. Kupenda si dhambi. Watoto wanawah kukua na hisia zinawahi vilevile. Ila ukisikia mtu amekusaliti ndio unaua!!!! Ili nini??? Wanaume badilikeni. km hela zinakuuma usitoe, mtu maisha magumu afu bado anahonga!! Achen wenye hela zao wahonge. Apo huenda hela alizohonga jumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.