Mimi ni mfanyabiashara ya kahawa kutoka vijijini,naomba kupata masoko china aina ya kahawa yangu ni Arabica,ninataka Direct export, hii kahawa ni ya Ruvuma na Mbeya;
Mkutane wote wanafamilia mweke mipango kwa pamoja,kuuza uwanja siyo utatuzi wa tatizo,huyu alie maliza chuo tayari yuko kwenye matazamio flani pia hao wengine wanaweza kutafuta vibarua vya kupata kipato cha kila siku,biashara kuna kupata na kukosa itategemeana na mipangilio yenu ya mwanzoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.