Recent content by bb1980

  1. B

    Kanye West aanzisha Biblia yake, ajiita Mungu

    Kama msg delivered I don regret ku comment
  2. B

    Kampuni za Mabasi zinazoongoza kwa mwendo wa kistaarabu na kujali abiria...

    Dar express Arusha-Dar ndio bora kwangu bt Kilimanjaro Big NO,wahudumu wamejaa viburi wanajiona malaika wale wadada khaaaa madereva ndo usiseme niliwahi shikwa na haja ndogo nikamuomba dereva msaada kuchimba dawaa weee alinigomea kbs,akaniambia eti niubane nisiwe km mtoto nikamwambia wee baba...
  3. B

    Faiza Ally, saga continue

    Yn mi ckapendi kujidaigi mzur wkt sura imekomaa km yangu,ndio ameweza kumaintain umbo na tumbo baada ya uzaz,bt sio sasa ndo anajiona mzuriii wkt sura mbovu
  4. B

    Kevin Hart amnunulia Ex-Wife wake 2015 New Escalade siku ya Birthday yake

    Hahahahaaa mi ningemwambia nimetupa chooni afu nione atafanyaje,atashtaki wapi km sio aibu tupu kudai pete
  5. B

    Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

    Mdau randy amerudishwa tyt,na wakatag team na seth against roman na mzee wa yes yes yes,waliibuka kidedea kina roman reigns ofcoz,nampenda sn roman reigns
  6. B

    Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

    Namzimikia mwanadada stefan macmahon ni mbabe kinoma,ahh vince macmahon ananikosha tu anavyorushaga miguu yake anapoingia ulingon hahaaaaa hao ndio the ausoritee
  7. B

    Mgao wa umeme umekuwa Janga

    Mdau umeongea point,mi nimeapa mwez huu unaokuja lazima lazima niweke solar,manake hii ni kero,hivi mdau mi nataka solar ya taa km10 na tv tu je itanigharimu kias gani kuweka solar??
  8. B

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Halafu unataka urais,hili dogo tu limekushinda,shame on u kwakwel
  9. B

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Jaman yaani serikali ya tz cjui kwanini hainaga muda na shida za wananchi,January Makamba kijana mwenzetu kwel hili limekushinda??kwa kipato gani tulichonacho kila saa ununue bundle ya internet khaaaa
  10. B

    Lady Jay Dee akerwa kuzushiwa kutundikwa mimba

    Uwiii chezea wabongo wewe,hawakomi ng'ooooo,anyamaze tu tho inauma sn,awe km wema sepetu yeye kila cku anasemwa mgumba lkn wala hana time,binadamu hawakos la kusema Mungu ndie anaetupa wtt na kwa wakati anaotaka yeye.
  11. B

    Lulu Elizabeth, Jackline Wolper waoneshana jeuri ya mabwana!

    Nawaonea huruma sn,cjui papuchi zao zina hali gani kwa kubadili kila aina ya size,kweli wanatumia uchumi waliopewa na Mungu ipasavyo kabisaaaaa
  12. B

    The success of Fox's 'Empire'

    Asante mdau
  13. B

    Gauni la Lupita lenye thamani ya $ 150,000 laibwa na kurudishwa tena

    Hapo tusubir tu kumuona ktk illuminatti movies
  14. B

    Kufungwa kwa Vituo Vidogo vya Polisi Saa 12 jioni, Nani ana jukumu la kuwalinda Raia?

    Kula tano mdau,vifungwe tu,raia wenyewe wamepinda kila kukicha kuua police kunyang'anya silaha,fungeni
Back
Top Bottom