Recent content by bayser95

  1. B

    Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

    mwenye kujua lolote anijuze mi nmeingia kwenye profile yangu haijabadilika chochote.
  2. B

    Kuhusu mkopo

    mi profile yangu haijachange tatzo nn jaman???
  3. B

    Mkopo

    msaada jaman kwangu profile haijachange mwenye kujua msaada tafadhali???
  4. B

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    jaman mi profile yangu haijachange tatzo ni nini kwa anaejua???
  5. B

    You have not Secured Loan (HELSB 2015/16)

    msaada jaman mi nmeingia kwenye account yangu ya heslb bdo iko vilevile haijabadilika chochote tatzo ni nini???
  6. B

    Hongereni HELSB 2015/16

    Kwa wengine majina yanatoka lini??!
  7. B

    saint augustine university of tanzania(SAUT)

    NSIA no nani MKUU?!
  8. B

    saint augustine university of tanzania(SAUT)

    Nashukur mkuu nitafanya hivyo.
  9. B

    saint augustine university of tanzania(SAUT)

    Baed nmechaguliwa huko! Ila ndo hvyo cjui chochote kuhusu hicho chuo.
  10. B

    saint augustine university of tanzania(SAUT)

    Tatzo hata chuo sikijui kilivyo ndo maana nahtaj kukijua tu wakuu
  11. B

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Pia nahtaj ziwe na uwezo was kusupport gaming VP hzo halo kwa being hyo znaweza kuwa na uwezo!
  12. B

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Laptop gani in nzuri na inauwezo mzur naweza kuipata kwa 400,000/= dukani?
  13. B

    saint augustine university of tanzania(SAUT)

    Namba 3,5 na 6 hvyo ndo nahtaj kuvijua haswa na pia hata nngepata na picha zake chache utakuwa umenisaidia sana.
  14. B

    saint augustine university of tanzania(SAUT)

    Google wamekionesha kwa juu sana kwa ujumla sijapata picha zake halisi
Back
Top Bottom