Recent content by Bayou98

  1. Bayou98

    Nina millioni 1 na laki 3 nifanye biashara gani?

    Habari zenu wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili. Nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani. Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara lakini biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo...
  2. Bayou98

    Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

    Tuletee ushahid wa icho unachosema maana mpira unachezwa haswa watu wanavuja jasho kweli kweli
  3. Bayou98

    Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

    Mm naamini vijana wengi wanaotoka nyumbani kwao ni kutokana na kadhia za wazaz na wengine wanataka uhuru wa kuwa na mademu zao..Mm naamini kitu kimoja! Hakuna mzazi anaependa kumuona mtoto wake anapata tabu kama eneo la kuishi linakuwepo! Ila kinachofanyika ni kwamba ww kama mtoto unatakiwa...
  4. Bayou98

    Naweza kuongezewa mkopo HESLB?

    Ndio lkn mpk dirisha la rufaa lifunguliwe then uwe na kiambatanish kingine cha kushawishi wakuongezee
Back
Top Bottom