Habari zenu wakuu,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili. Nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani.
Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara lakini biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo...
Mm naamini vijana wengi wanaotoka nyumbani kwao ni kutokana na kadhia za wazaz na wengine wanataka uhuru wa kuwa na mademu zao..Mm naamini kitu kimoja! Hakuna mzazi anaependa kumuona mtoto wake anapata tabu kama eneo la kuishi linakuwepo! Ila kinachofanyika ni kwamba ww kama mtoto unatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.