Recent content by bayonamperembi

  1. bayonamperembi

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Kosa lake ni kuonekana hadharani tu bas. Mosad ni wawindaji 24/7
  2. bayonamperembi

    Kocha Ernest Middendorp: Nimeondoka Singida Fountain Gate kwa kuwa viongozi waliingilia majukumu yangu kwa kiwango kikubwa

    Kumbe bwana. Kodi zetu ndo zinaishia huku. Waziri wa fedha ndo boss wa hii timu. Amejificha weee lakini kafichuliwa
  3. bayonamperembi

    Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi

    Watawala watujibu haya bila kuruka kipengele hata kimoja hapo
  4. bayonamperembi

    FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

    Tushamkanda mNigeria kwao. Hapa kwa Mkapa tunakuja kumkamua kama tambara
  5. bayonamperembi

    Kwanini tukienda hospitali zile fomu za NHIF hawafungi hesabu pale chini?

    Ni kweli kabisa, tena si NHIF hata bima zingine pia. Huwa hawafungi mahesabu. Nilimuuliza nesi mmoja mtaani kwa nini inakuaga hivyo alinijibu hivi "...... huko ndiko tunakoponeaga". Hivyo bas, utakuta gharama zako halisi za matibabu ni 30,000 ila hiyo fomu itachezewa iandikwe hata 130,000. Kuna...
  6. bayonamperembi

    Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

    Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa kuyajibu maombi yetu. #Mbowe si gaidi. Karibu uraiani kaka. Mapambano yaendelee. We missed you.
  7. bayonamperembi

    Polisi Dar yampa saa 24 Nabii Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano

    Kwamba Mwingira kafanya uhalifu kusema alitishiwa maisha?? Si anatakiwa aisaidie polisi wahalifu hao wakamatwe? Naona mamlaka kuna kitu wanataka kukificha hapa kwa kutumia "vibaya" dola. Hili jambo na mengine yanayohusu haki na maisha ya watu sirkali haitaki ihusishwe nayo.
  8. bayonamperembi

    Waziri wa Mambo ya Ndani aagiza Polisi Kanda Maalum ya Dar kumsaka na kumhoji Askofu Mwingira

    Kuna mambo mengi mazito watu wamepitia na wanaendelea kupitia. Nchi isiendelee kutisha waliochoka kukaa kimya, ni wajibu wao kuchunguza na ukweli ujulikane kwa watu wote. Waliohusika wote sheria ichukue mkondo wake
  9. bayonamperembi

    TANZIA Askofu Desmond Tutu afariki kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 90

    Pumzika kwa amani askofu. Matendo yako mema yatakuwakilisha kwenye kizazi hiki na kijacho
  10. bayonamperembi

    Watu 29 wameshakufa kwa wimbi la 3 la Coronavirus. Wagonjwa wafikia 858 Tanzania nzima

    Niko kwenye usafiri wa umma mida hii. Tuliovaa barakoa ni 8 kati ya abiria 30
  11. bayonamperembi

    Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

    Moja ya waTz wakwanza kujitokeza kuipata hiyo chanjo kwa hiyari wakati ikiidhinishwa nchini niko hapa. Silishwi propaganda za kijinga za siasa mimi. Afya yangu ni ya thamani sana. Sikubali siasa za kijinga ziitawale akili yangu hata siku moja.
  12. bayonamperembi

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Kifo ni fumbo. Mungu pekee ndiye mteguaji wa hili fumbo. Lowasa 2015 walisema hauwezi urais maana ni mgonjwa àtaenda fia ikulu. Je binadamu alifanikiwa hapa? Lowasa yungalipo. Lissu je! Risasi zote zile na bado anadunda. Lakini kejeli alizopokea utadhani si binadam. Naskia baada ya kupigwa...
Back
Top Bottom