Recent content by Bawawi

  1. B

    Viwanja vya bei nafuu vinauzwa Mbezi Mpiji Magoe

    Nataka cha barabara kuu. Ntapata!
  2. B

    Toyota ist 2004 ipo sokoni

    Chukua 6m fasta
  3. B

    Nauza toyota wish

    Ya mwaka gani?. Engine size and type?
  4. B

    Msaada: Nataka kuezeka nyumba hii

    Hivi ni nini tofauti ya hawa mafundi wanaochaji m2.5 mpaka 3 na hawa wa Laki Saba? Au wanaangalia na sura? Anaeweza kunijibu kitaalamu nitafurahi maana utofauti ni mkubwa sana.
  5. B

    Toyota Rav4 Inauzwa

    Wapi mawasiliano yako tukurukie hewani
  6. B

    Kiwanja kinauzwa

    [/QU kweli ndugu yangu apo bei maelewano tu na sidhani kama ni sahihi kumpangia mtu bei kabla hajaona mali. We jamaa wa wapi? Kwa hiyo nikurupuke huku niliko Niache kazi za Watu nije kuona kiwanja ili nitajiwe bei!!!! Nini maana ya mtandao kwako? Nina m1 kiwanja m100 halafu nije kuangalia...
  7. B

    Fundi wa Blandering

    Nami namtaka huyu, ni nini gharama zake? bainisha humu mkubwa. nipo Dar
  8. B

    Nyumba inauzwa Tabata Kinyerezi

    Huyu jamaa dip pub dawa yake ni kutokusoma matangazo yake he is F*** bness man/woman. Hatoi bei anaringa na hajui kwamba wateja wengine wanakuwa derived na bei to call or to pm his F*** phone number.
  9. B

    Nyumba karibu na Mlimani City

    Hivyo vitabu angalia sana maana si kilichoandikwa ufuate, vinakupa uezo wa kupambanua mambo. Issue kujenga kwa TZ ni muhimu lakini si kwenye nchi zilizoendelea maana kwa wao hata upatikanaji wa land ni mgumu na kulipa mortgage ni ngumu kuliko kurent. So watch out man poromosha gorofa lako
  10. B

    Going Bongo: Filamu ya kwanza ya Tanzania kukubalika Kimataifa

    I bet iwe kali kama asemavyo promoter maana movie zetu zinaboa mpaka basi. Nahisi ningekuwa director wa movie wasanii wabongo wangenichukia na nasikitika Siwezi ingia kwenye hiyo industry coz aina ya kazi nazofanya. Sababu kwa nini zinaboa 1. Movie masaa matatu/manne story ni moja tu 2. You...
  11. B

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Tayari wewe angalia calculator ya TRA ya mwaka huu utaona formula ishachenji kitambo, kitu miaka 8.
  12. B

    Semina na Fursa kwa wote walio tayari kuwekeza kwenye internet

    Napenda kujua zaidi na business ambayo haitaniibia muda mwingi kusimamia. Send me mafunzo yote at ramosikwayu@yahoo.com If it is something viable you will be very happy working with me NB: should not be GNLD etc.
  13. B

    Ramani ya Nyumba hii Inauzwa kulipia HESLB kwa tuliokosa Mkopo wa vyuo vikuu

    Tupiamo design ya nje ambayo ni steep slope, Nyumba ishajengwa, kwa bondeni Ina ground floor na ndo nyuma.
  14. B

    Tanzania: Kikwete Opts to Teach After Retirement

    I think he wants to bring politics in academics. People have a lot questions/ chaos under his leadership including national security. And this can be justified by the killings happened to protestors and innocent people who happened to express the nation problems to society, and none is...
Back
Top Bottom