Recent content by Bawabu wa pili

  1. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Februari 1, 2026, BBC kuja na uchunguzi mpya juu ya Mateso na mauaji ya Tanzania, kabla na wakati wa Uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Idara ya BBC Africa Eye imetangaza kuja na uchunguzi mpya maalum unaoitwa “STATE OF FEAR” unaohusu matukio ya kikatili na mauaji yaliyotokea mwaka jana october 29, 2025 nchini Tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Kupitia taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, BBC Africa Eye imesema...
  2. Bawabu wa pili

    KERO Kusitishwa muda mrefu kwa huduma ya vyoo vya Stendi ya Mawasiliano kunasababisha kero kwa wananchi

    Stendi ya Mawasiliano ni eneo lenye muingiliano mkubwa wa watu kutokana na uwepo wa soko pamoja na mabanda mengi ya biashara. Licha ya umuhimu mkubwa wa eneo hilo, upatikanaji wa huduma ya choo kwa sasa ni changamoto kubwa, hali inayosababisha usumbufu kwa wafanyabiashara, wananchi wanaofika...
  3. Bawabu wa pili

    Mdogo wa Tundu Lissu atolea ufafanuzi wa sakata la upigaji wa fedha za michango ya Lissu

    Vicent Mughwai Lissu, mdogo wa Mhe. Tundu Lissu anatolea ufafanuzi wa sakata la upigaji wa fedha za michango ya Mhe. Lissu. "Ni jambo la familia, naona Amani Golugwa anahusishwa kwamba alienda Arusha kuonana na Mzee Alute, nafikiri hili si sahii" Vicent Lissu Soma pia: CHADEMA: Taarifa za...
  4. Bawabu wa pili

    Wanetu mnasemaje? Jux kaomba radhi kweli au kachamba umbea? au tuendelee kufanya kazi tu?

    Wanetu mnasemaje? Kaomba radhi kweli au kachamba umbea? JUMA, sisi na wewe tumepita wapi? Sisi na wewe hatujapitia chochote. Kwanza hiyo AFRIMA ni kitu gani ili tuanze kusaga kunguni mapema Staa wa muziki wa Bongo Fleva Juma Jux amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu kauli iliyosambaa mwaka jana...
  5. Bawabu wa pili

    Mbunge Kangi: Bunge, Mahakama, na vyombo vya Dola viwe huru

    Mbunge wa Jimbo la Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema ni vyema mihimili ya serikali iwe huru ili iweze kufanya kazi zake kwa usahihi bila kuingiliwa. Soma pia: Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua...
  6. Bawabu wa pili

    Morogoro: Wanaokwamisha ujenzi wa stendi ya Mikumi kuondolewa

    📍MOROGORO - Mkuu wa Mkoa, Adam Malima, amesema hatua zitachukuliwa dhidi ya Watumishi wote wanaokwamisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi ya magari ya mizigo (malori) ya Mikumi, Wilayani Kilosa, unaotarajiwa kuanza hivi karibuni. Malima ametoa kauli hiyo wakati wa kikao kazi cha...
  7. Bawabu wa pili

    Mbunge Cherehani: Kwanini wagonjwa wanalipa fedha kumuona daktari kwenye hospitali za umma

    Mbunge wa Jimbo la Ushetu Kahama, Emmanuel Cherehani amehoji utaratibu wa mgonjwa kulipia fedha ya kwenda kumuona daktari katika hospitali za Umma hapa nchini ambapo amedai wagonjwa hulipishwa kiasi cha shilingi 5,000 mpaka 30,000. Soma pia: Dkt. Seif Shekalaghe: Marufuku hospitali kudai fedha...
  8. Bawabu wa pili

    Ubalozi wa Marekani: Kukamatwa kwa Mwanajeshi wa Marekani Tanzania kumekuzwa kupita kiasi na Serikali

    Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andy Lentz, ameelezea kutoridhishwa kwake na jinsi Serikali ya Tanzania na vyombo vya habari vilivyolishughulikia suala la kukamatwa kwa raia wa Marekani aliyekuwa na silaha katika mpaka wa Sirari. Akizungumza hivi katika mahojiano maalum...
  9. Bawabu wa pili

    Agatha Yakobo: Watanzania naomba mnisamehe, zilikuwa ni akili za Pombe, muhusika alitutishia maisha

    Jumuiya ya Mtakatifu Yohana Parokia ya Yombo Dovya Januari 27 iliungana na kushiriki zoezi la upandaji wa miti katika kata ya Makangalawe Wilayani Temeke ikiwa ni sehemu ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan katika siku yake ya kuzaliwa lakini Cha ajabu aliyeonekana...
  10. Bawabu wa pili

    Onyo kwa wanaotumia mafuta wakati wa kufanya mapenzi

    Wakati matumizi ya mafuta yakiwa maarufu kwa wengi kama kilainishi wakati wa kujamiiana, wataalamu wa afya wameonya kuwa yanaweza kuleta madhara makubwa kwa afya ya mwanamke, ikiwamo kuharibu kinga asilia ya uke na kuongeza hatari ya maambukizi.
  11. Bawabu wa pili

    Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza?

    Em tupe experience mkuu? Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza? Je ilikuwa ni Club? Kanisani? Mitandao ya kijamii? Kwenye usafiri? Na ilikuaje mpaka mkaanza
  12. Bawabu wa pili

    Jomeke na Siri za watu vijiweni

    Kuna Bwana mmoja maarufu anaitwa JOMEKE; Huyu bwana ni katika wale watu wasiokuwa na vifua, hana stahimala akiona jambo. Vijana wanasema friji lake haligandishi. Jomeke hawezi kabisa kuficha siri, akiskia jambo au akiona jambo hawezi kuvumilia lazima aseme Sasa siku moja Jomeke kwenye...
  13. Bawabu wa pili

    Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?

    Naombeni kujibiwa hili swali tafadhali Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?
  14. Bawabu wa pili

    Ulikuwa na umri gani ulivyojua kuwa kirefu cha MOM ni My Own Mother

    Nasoma comment na kama ndio umejua leo basi comment ''JF shule''
  15. Bawabu wa pili

    Aliyechomwa sindano kutibu tezi dume kisha kupooza, afariki dunia

    📍DODOMA - Yohana Mathias, Mkazi wa Nzuguni B, amefariki dunia asubuhi ya leo baada ya kuugua kwa muda mrefu tatizo la tezi dume lililoambatana na kupooza kwa sehemu kubwa ya mwili wake. Kifo cha Mathias kinatokea siku chache baada ya Jambo TV kuchapisha habari akiomba msaada wa matibabu, akiwa...
Back
Top Bottom