Recent content by bavidy

  1. bavidy

    Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

    Tusichukulie poa, mazingira ya biashara kwenye nchi yetu ni magumu sana yani kuna utitiri wa kodi kibao. mfano mimi biashara yangu nauza samaki wabichi mtaji milioni 4 ... kodi nazokumbana nazo kwa mwaka.. 1. TRA NALIPA 370,000 2. LESENI NALIPA 41,000 3. LESENI YA FISHERIES NALIPA 100,000 4.TAKA...
  2. bavidy

    Nunua na Aliexpress: Tuelimishane manunuzi mtandaoni

    Siyo kwamba aliharibu hapana mkuu, Alibaba kule ni B2B na aliexpress ni B2C ,
  3. bavidy

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Mkuu pole na majukum , inawezekana ushatolea ufafanuzi lakin naomba ikikupendeza nisadie pia, Nimeagiza gari haina ya Nissan dualis inatumia engine MR20 naomba kujua oil gani inafaa kwa haina hii ya engine au ikikupendeza naomba uchambuzi kidogo wa gari hii ?
  4. bavidy

    Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

    Jinsi ya kuondoa unwelcomed ads, Fungua setting katka simu yako nenda setting »»apps>>> scroll kwanda chini mpaka mwisho kabisa utakuta kuna app ambayo haina icon bonyeza /ifungue alafu uninstall. Mpaka apo tatizo litaisha kabisa. Kwa watumiaji wa android tu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bavidy

    Hii Fastjet bora ife tu

    Wako sawa ndege siyo bus
Back
Top Bottom