Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu...
codifier,
Uko sawa, mtoa mfanya hebabu alikosea tangu mwanzo kama deni jumla ni 10000 ukapunguziwa 300 deni likabaki 9700.
Ulitakiwa kugawa deni mara mbili =4850 kwa kila mmoja ukimpa kila moja 100 we ukabaki na 100 calculation zingekuwa hivi.
Dada(100 uliompa+4850 lile deni +50uliobaki...
unaweze kuchukua wabichi tsh 2k to 3k per kilo japo sasahv wameshuka, then wakakukaangia we ukaenda kuuza jumla au rejareja, au kama una fresh food unaganisha kwenye friza then unasafirisha.
kama unahitaji samaki wapo wa sample zote.
mfano wabichi ambao unasafirisha kwa basi ila mpaka wagandishwe kwenye friza n
a wanafungwa pamoja na pumba ambapo unaweza kusafirisha hata kwa siku hadi 3.
kama unahitaji ni inbox ni kuunganishe
tuliwahi kuwa na mpendazoe police mes dodoma akizindua kitabu cha tutashinda bona hii mizwengwe hawaiongelei viongozi wote wanafahamu je kilichoazimiwa ndicho kinachotokea sasa hivi? tunaitaji maendeleo maneno hatutaki kwasasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.