Kwa mantiki ya mtu mwema na mtu mbaya, binafsi ninafit kote itategemea tu na mhusika ananisoma vipi, na sijali.
Hayupo mtu mbaya wala mwema wa muda wote. Ila itategemea mawazo yanayomtawala mtu, ama ni ya kujenga ama kuharibu/ubinafsi.
Kwaiyo mawazo tawala ndo yata define huyu mtu anaegemea...
Halafu baada ya mtihani kumalizika mnajumuika pamoja kujadili yaliyojili kwenye mtihani, unagundua wenzako karibu wote wanajibu linalofanana ila la kwako unabaki nalo mwenyewe unaamua kuondoka kimya kimya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.