Sina cha kukushauri ila nitakupa mtazamo wangu:
Achana na kausha damu ni heri ulale njaa ila usiingie kwenye mikopo isiyoeleweka.
Jitafakari anza upya, kidhi mahitaji muhimu kwanza kama chakula na malazi, tafuta pesa ndogo tu(hata laki 5) idundulize kwenye kibiashara ikuze ila usichukue pesa...
Hii pia hata mimi nilikuwa nawashangaa sana kula hadi utumbo.
Lakini nilivyotembea duniani nikaona kumbe ni kawaida tu,
Kwa wenzetu miguu ya kuku ni chakula cha heshima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.