Mkuu bado tuna safari ndefu sana. Kwanzia serikali zetu hadi wananchi ni mtihani. Africa tuna maeneo mazuri sana lakini tunashindwa kuyatunza na kuwa wabunifu. Unaweza kukosa uchumi lakini ukiwa una ustaarabu wa kutunza ulichonacho kukijali na kupangilia mbona tungekuwa na mazingira ya kuvutia...
Kiukweli mimi kati ya vitu huwa natumia kupima uwezo wa akili na ustaarabu wa jamii fulani kwanza huwa naangalia namna wanavyojali na kutunza mazingira yao kwanza.
Ni ngumu hiyo hali lakini ukiipitia unahisi growth. Yaani hakuna cha kukutisha ni sawa na kumtishia kifo marehemu. Kwasababu unaona msaada ni M-ngu pekee na hata asipotenda bado unaona ni sawa tu na unamshukuru kwa maisha amekupa. That feeling huwezi ielezea.
Kabla ya wazazi mlengwa ulivyomwuliza alikupa jibu gani, inaonesha hukuridhika na jibu lake.
Ila kama hukuchukua hatua yoyote ya maana mi naona tatizo lipo kwako pia.
Dah! Changamoto hii mkuu.
Nakupongeza kwa uvumilivu wako kwenye hili.
Inaonesha kuna mengi mazito.
Ina maanisha mtoto ana baba wawili sio?
Hapo kuna bomu linakuja, once a hoe always a hoe.
Sema nini mara nyingi kwenye migogoro kama hii anayewa ng’ang’ania watoto ndo huwa anajuta pindi watapokuwa na kuanza kuwekeza upendo zaidi kwa mzazi aliyekosekana kwenye malezi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.