Recent content by Battor

  1. Battor

    JamiiForums Tanzania Zawadi kwa Diamond na Zuchu ni utakatishaji fedha. Serikali ipo kimya

    Maisha ni akili tu boss
  2. Battor

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    Sahihi mkuu around hiyo figure ndo atapata.
  3. Battor

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    Nenda benk husika na salary slip yako onana na afisa mikopo atakupa muongozo
  4. Battor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Hii tarehe nilikuwa Mwanza. Ebana eeeh ni hatari zaidi ya hatariii. Hali ilikuwa mbaya
  5. Battor

    JamiiForums Tanzania WhatsApp imepata hitilafu kwa sasa

    Mimi Leo ndo nimepata shida hii
  6. Battor

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Shukrani mkuu
  7. Battor

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Hii una maanisha ikiwa imekamilika kabisa na vyumba vinne kila floor au?
  8. Battor

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    Akili kubwa inamchango kwa jamii
  9. Battor

    JamiiForums Tanzania Mapini makali ya muda wote ya Hip Hop ilikuwa ni mwendo wa kutikisa vichwa tu

    Beat & lyrics ni 🔥🔥
  10. Battor

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Sina cha kukushauri ila nitakupa mtazamo wangu: Achana na kausha damu ni heri ulale njaa ila usiingie kwenye mikopo isiyoeleweka. Jitafakari anza upya, kidhi mahitaji muhimu kwanza kama chakula na malazi, tafuta pesa ndogo tu(hata laki 5) idundulize kwenye kibiashara ikuze ila usichukue pesa...
  11. Battor

    JamiiForums Tanzania Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Mwenye nayo adondoshe hapa tafadhali
  12. Battor

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mkoa unakosa maadili kama Dar?

    Kabisa ila pia utamaduni unachangia, ni vitu hatujavizoea ila kiafya sidhani kama kuna shida kula miguu na vichwa ya kuku.
  13. Battor

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mkoa unakosa maadili kama Dar?

    Zamani nilikuwa naona ajabu ila siku hizi hata mimi nakula nazipenda sana.
  14. Battor

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mkoa unakosa maadili kama Dar?

    Hii pia hata mimi nilikuwa nawashangaa sana kula hadi utumbo. Lakini nilivyotembea duniani nikaona kumbe ni kawaida tu, Kwa wenzetu miguu ya kuku ni chakula cha heshima
Back
Top Bottom