Recent content by Battor

  1. Battor

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    Kwa mantiki ya mtu mwema na mtu mbaya, binafsi ninafit kote itategemea tu na mhusika ananisoma vipi, na sijali. Hayupo mtu mbaya wala mwema wa muda wote. Ila itategemea mawazo yanayomtawala mtu, ama ni ya kujenga ama kuharibu/ubinafsi. Kwaiyo mawazo tawala ndo yata define huyu mtu anaegemea...
  2. Battor

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Halafu baada ya mtihani kumalizika mnajumuika pamoja kujadili yaliyojili kwenye mtihani, unagundua wenzako karibu wote wanajibu linalofanana ila la kwako unabaki nalo mwenyewe unaamua kuondoka kimya kimya.
  3. Battor

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Kwani familia yake inasemaje?
  4. Battor

    JamiiForums Tanzania Kumbe Marehemu ameacha wajane wawili!

    Wanaume ni polygamist kiasili. Wengine wamehalalisha na wengine wanafanya kwa siri. Chagua upande.
  5. Battor

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Apumzike kwa amani mzee wa watu.
  6. Battor

    JamiiForums Tanzania Pombe dhidi ya bangi

    Vyote ni artificial mind stimulant madhara itategemea na mtumiaji. Madhara makubwa ni addiction(vinakuendesha unakosa udhibiti).
  7. Battor

    JamiiForums Tanzania Hizi ni biashara ambazo kwa Tanzania nikisikia mtu ameanzisha huwa naishia kusikitika tu!

    Car wash ukiipatia location inalipa vizuri. Cheza na bill ya maji tu
  8. Battor

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Kwaiyo hapa mkuu unamaanisha kitulizo cha moto ni maji. Sasa iweje tena bahari iwe hatari kwa moto. Shusha madini.
  9. Battor

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Mimi ni asili ya moto na ninapenda maji sana. Hii imekaaje?
  10. Battor

    JamiiForums Tanzania Natoa ushauri wa biashara na namna ya kukuza biashara

    Kama una connection na ma importers wakubwa wa bidhaa za viwandani/agricultural nahitaji. Suppliers ninao.
  11. Battor

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Indoa hii post myamalize kiume.
  12. Battor

    JamiiForums Tanzania Kuwa Mkweli Kunaponza!, Nilidhani Unawa Cost Malofa na Makapuku Tuu, Kumbe Hata Vigogo Wakubwa kama Huyu!. Kosa Lake Nini?, Au ni Kuwa Mkweli Sana?!

    Ukweli unaponza tena sana ILA inategemea tu umelenga ule vizuri ama ulale vizuri. Inahitaji ku balansi mizani.
  13. Battor

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Nauliza wakuu, kama ni kweli kajiuzulu. Kikatiba imekaaje hii. Atateuliwa mwingine ama atachaguliwa kwa demokrasia?
Back
Top Bottom