Recent content by Battor

  1. Battor

    JamiiForums Tanzania Nani Mwingine hasira humweka pabaya kunizidi?

    Mkuu usiruhusu hisia zikutawale. Hasa strong emotion huwa hazina matokeo chanya zikikutawala. Ukiona unashindwa kujizuia jaribu kung’ata ulimi hii ni trick itakusaidia. Ukihitaji msaada zaidi unaweza nicheki.
  2. Battor

    JamiiForums Tanzania Je, kuku ana uwezo wa kunusa harufu ? nilifanya utafiti huu nikagundua anaweza kutambabua harufu

    Si kweli, wao kwa wao hudonoana muda wowote na hawafi je, binadamu na kuku yupi ana uwezo mkubwa kustahimili sumu?
  3. Battor

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Tulieni tulieni tunasawazisha na tunawaongezq
  4. Battor

    JamiiForums Tanzania Kuna taharuki inatengenezwa Dar? Kuna magari ya Polisi yanazunguka mitaani

    Tangu juzi huku mkoa nilipo niliona mabadiliko kama hayo makambi yameongezwa ya polisi. Basi nikawaza au tarehe 1 mei kuna watu wamepanga maandamano, kiukweli sikuwa nawaza kama kuba hili tukio leo maana kiukweli kwa maisha ya kawaida wananchi hata hawana time.
  5. Battor

    JamiiForums Tanzania Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Unaweza tag Location tujue ni wapi hapa
  6. Battor

    JamiiForums Tanzania Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Mkuu bado tuna safari ndefu sana. Kwanzia serikali zetu hadi wananchi ni mtihani. Africa tuna maeneo mazuri sana lakini tunashindwa kuyatunza na kuwa wabunifu. Unaweza kukosa uchumi lakini ukiwa una ustaarabu wa kutunza ulichonacho kukijali na kupangilia mbona tungekuwa na mazingira ya kuvutia...
  7. Battor

    JamiiForums Tanzania Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Kiukweli mimi kati ya vitu huwa natumia kupima uwezo wa akili na ustaarabu wa jamii fulani kwanza huwa naangalia namna wanavyojali na kutunza mazingira yao kwanza.
  8. Battor

    JamiiForums Tanzania Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha, jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Ni ngumu hiyo hali lakini ukiipitia unahisi growth. Yaani hakuna cha kukutisha ni sawa na kumtishia kifo marehemu. Kwasababu unaona msaada ni M-ngu pekee na hata asipotenda bado unaona ni sawa tu na unamshukuru kwa maisha amekupa. That feeling huwezi ielezea.
  9. Battor

    JamiiForums Tanzania Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha, jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    💯 kwa my personal experience unajikuta unafeel hope mwepesi kabisa japo mambo hayaendi na umefanya kila unaloweza to the maximum.
  10. Battor

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu

    Huko ndio home labda sikuizi kuna kelele maeneo yale siwezi bisha nina muda kidogo sijafika huko. Ila sikatai ni pa kishamba.
  11. Battor

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu

    Kwa kelele hapana hakuna kelele pale ila ni pa kishamba kulinganisha na hadhi yake.
  12. Battor

    JamiiForums Tanzania TCRA mmepata faida gani kuifungia JamiiForums? Acheni kuwa na maamuzi ya mihemuko

    Kwakweli kufungiwa kwa mtandao wetu pendwa jamiiforum. Binafsi iliniathiri sana
  13. Battor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninaishi na maumivu

    Dah! Pole sana aiseee, hivi vitu havizoeleki. Nuru imeondoka iliyokuwa ina ndoto pia ya kutimiza mengi, inasikitisha kwa kweli.
  14. Battor

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Kabla ya wazazi mlengwa ulivyomwuliza alikupa jibu gani, inaonesha hukuridhika na jibu lake. Ila kama hukuchukua hatua yoyote ya maana mi naona tatizo lipo kwako pia.
  15. Battor

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Ulichukua hatua gani baada ya kugundua hilo?
Back
Top Bottom