Mkuu usiruhusu hisia zikutawale. Hasa strong emotion huwa hazina matokeo chanya zikikutawala.
Ukiona unashindwa kujizuia jaribu kung’ata ulimi hii ni trick itakusaidia.
Ukihitaji msaada zaidi unaweza nicheki.
Tangu juzi huku mkoa nilipo niliona mabadiliko kama hayo makambi yameongezwa ya polisi. Basi nikawaza au tarehe 1 mei kuna watu wamepanga maandamano, kiukweli sikuwa nawaza kama kuba hili tukio leo maana kiukweli kwa maisha ya kawaida wananchi hata hawana time.
Mkuu bado tuna safari ndefu sana. Kwanzia serikali zetu hadi wananchi ni mtihani. Africa tuna maeneo mazuri sana lakini tunashindwa kuyatunza na kuwa wabunifu. Unaweza kukosa uchumi lakini ukiwa una ustaarabu wa kutunza ulichonacho kukijali na kupangilia mbona tungekuwa na mazingira ya kuvutia...
Kiukweli mimi kati ya vitu huwa natumia kupima uwezo wa akili na ustaarabu wa jamii fulani kwanza huwa naangalia namna wanavyojali na kutunza mazingira yao kwanza.
Ni ngumu hiyo hali lakini ukiipitia unahisi growth. Yaani hakuna cha kukutisha ni sawa na kumtishia kifo marehemu. Kwasababu unaona msaada ni M-ngu pekee na hata asipotenda bado unaona ni sawa tu na unamshukuru kwa maisha amekupa. That feeling huwezi ielezea.
Kabla ya wazazi mlengwa ulivyomwuliza alikupa jibu gani, inaonesha hukuridhika na jibu lake.
Ila kama hukuchukua hatua yoyote ya maana mi naona tatizo lipo kwako pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.