Recent content by Battor

  1. Battor

    Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Unaweza tag Location tujue ni wapi hapa
  2. Battor

    Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Mkuu bado tuna safari ndefu sana. Kwanzia serikali zetu hadi wananchi ni mtihani. Africa tuna maeneo mazuri sana lakini tunashindwa kuyatunza na kuwa wabunifu. Unaweza kukosa uchumi lakini ukiwa una ustaarabu wa kutunza ulichonacho kukijali na kupangilia mbona tungekuwa na mazingira ya kuvutia...
  3. Battor

    Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Kiukweli mimi kati ya vitu huwa natumia kupima uwezo wa akili na ustaarabu wa jamii fulani kwanza huwa naangalia namna wanavyojali na kutunza mazingira yao kwanza.
  4. Battor

    Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Ni ngumu hiyo hali lakini ukiipitia unahisi growth. Yaani hakuna cha kukutisha ni sawa na kumtishia kifo marehemu. Kwasababu unaona msaada ni M-ngu pekee na hata asipotenda bado unaona ni sawa tu na unamshukuru kwa maisha amekupa. That feeling huwezi ielezea.
  5. Battor

    Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    💯 kwa my personal experience unajikuta unafeel hope mwepesi kabisa japo mambo hayaendi na umefanya kila unaloweza to the maximum.
  6. Battor

    Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu

    Huko ndio home labda sikuizi kuna kelele maeneo yale siwezi bisha nina muda kidogo sijafika huko. Ila sikatai ni pa kishamba.
  7. Battor

    Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu

    Kwa kelele hapana hakuna kelele pale ila ni pa kishamba kulinganisha na hadhi yake.
  8. Battor

    TCRA mmepata faida gani kuifungia JamiiForums? Acheni kuwa na maamuzi ya mihemuko

    Kwakweli kufungiwa kwa mtandao wetu pendwa jamiiforum. Binafsi iliniathiri sana
  9. Battor

    Ninaishi na maumivu

    Dah! Pole sana aiseee, hivi vitu havizoeleki. Nuru imeondoka iliyokuwa ina ndoto pia ya kutimiza mengi, inasikitisha kwa kweli.
  10. Battor

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Kabla ya wazazi mlengwa ulivyomwuliza alikupa jibu gani, inaonesha hukuridhika na jibu lake. Ila kama hukuchukua hatua yoyote ya maana mi naona tatizo lipo kwako pia.
  11. Battor

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Ulichukua hatua gani baada ya kugundua hilo?
  12. Battor

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Dah! Changamoto hii mkuu. Nakupongeza kwa uvumilivu wako kwenye hili. Inaonesha kuna mengi mazito. Ina maanisha mtoto ana baba wawili sio? Hapo kuna bomu linakuja, once a hoe always a hoe.
  13. Battor

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Bro unatuangusha wanaume. Unashindwaje kutumia mamlaka kwenye familia yako.
  14. Battor

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Sema nini mara nyingi kwenye migogoro kama hii anayewa ng’ang’ania watoto ndo huwa anajuta pindi watapokuwa na kuanza kuwekeza upendo zaidi kwa mzazi aliyekosekana kwenye malezi yao.
Back
Top Bottom