Wanawake wa dizain hiyo ndio wanaowatia doa single mother wengine wenye adabu zao..haiwezekan kitu kinadisplay hubby kwa simu mbele ya ngome nyingine..yani kwa ufupi huyo ni wa hovyohovyo kashindwa kula na kipofu.
Sisi hatuna nguvu za kuchezea Tako zetu tatu kwisha habari...tunawaachia wazee wa kufunga usongo na maremba mixer mavitu yenu ya kupakapaka ili ziwawake moto na bado mko na mashaka juu yetu! vijana mnafeli wapi...kweli nimeamini donda la kichwa mkaguzi mkono.
Wazo la kuweka ps nakuunga mkono mtawavuta watoto na watapenda kuja kunyoa ila wasiwasi wangu ni huyo dogo kupunyua watoto wa watu..mwambie azingatie sana namba za mashine kuwanyoa watoto na asikimbilie kuwanyoa mitindo itamsaidia zaidi kuongeza ujuzi siku hadi siku..na pia wanafunzi style yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.