Sheria ya kuendesha, kusimamia na kudhibiti microfinance institutions zile ambazo haziruhusiwi kupokea wala kutunza akiba/amana za umma tayari inafanya kazi.
Serikali kupitia wizara ya fedha tayari imeshatunga kanuni za uendeshaji, ambapo ilitoa kipindi cha mwaka mmoja kutoka 1st November 2019...
Batandwa Company Limited T/A Batandwa Financial Services ni kampuni mpya itakayohusika na utoaji wa huduma ndogondogo katika daraja la pili kulingana na sheria mpya ya asasi ndogondogo za kifedha ya mwaka 2018.
Tunapenda kutangaza nafasi za kazi kwa ajili ya maafisa mikopo wanne (4) kwa ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.