Recent content by Basil materu

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo Kimedorora, Ufukara wa Wananchi Umeongezeka, Kuna Harufu ya Ufisadi Kwenye Mbolea

    Sekta ya kilimo inawaingizia watanzania wengi sana kipato, hivyo ni vyema sekta hii ikapewa uzito unao stahili. 80% ya watanzania ni wakulima therefore kuendeleza kilimo ni kuwaendeleza watanzania wa kipato cha chini. Sekta ya mifugo pia inabid itazamwe kwa jicho la pili kwa sababu watanzania...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    kwa morogoro maeneo yanayo support kilimo cha vitunguu ni yapi??
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    kwa morogoro maeneo yanayo support kilimo cha vitunguu ni yapi??
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    kwa morogoro maeneo yanayo support kilimo cha vitunguu ni yapi??
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    kwa morogoro maeneo yanayo support kilimo cha vitunguu ni yapi??
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    kwa morogoro maeneo yanayo support kilimo cha vitunguu ni yapi??
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    gharama kwa ujumla kama mimi nataka kufuga kulimo cha biashara . gharama average(general) zinakuwaje? na sehemu ninapoweza pata hao samaki wa kuanzia? nipo morogoro.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    tatizo la soko la uhakika mkuu linatatulika vipi???? kwa maana haya mazao yanaharibika kwa muda mfupi sana kama yasipopata wateja????
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    mkoa wa pwani mihogo inastawi sana mkuu maeneo ya kisarawe aina za mihogo zinazo stawi maeneo ya kisarawe ni rasta na enyimba kuhusu mashamba na usafir vinapatikana kwa gharama ndogo . kama una swali unaweza ukauliza. Kisarawe ipo karibu sana na dar xo soko sio tatizo kwa mihogo yako. Pia kama...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mradi mkubwa wa umwagiliaji kuliko wa Hombolo bwawani uliopo Dodoma?

    Kuna gharama gani za kuchangia hapo ili uweze kupata eneo la kufanyia kilimo?? au ni bure??
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii Gwajima kaonyesha uzalendo

    Nchi kuwa na slogan yake kunachangia sana kuitambulisha nchi kimataifa. kutambulika kwa nchi kwa slogan kama aliyoipendekeza gwajima "TZ ROOF OF AFRICA" ni jambo jema coz sekta za utalii n.k zitainufaisha nchi BIG UP KWAKE KWA KUWA MZALENDO.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kutatua tatizo hilo ni vyema kufuga kuku aina ya CROWLER ambao unaweza kuwafungulia wakajiokotea kama kuku wa kienyeji (ikiwa kama una eneo la kutosha) na ukawaongezea na chakula. Pia wanakua haraka na kutaga mayai yakutosha kwa mwaka .
  13. B

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Sasa mimi ushauri wangu kwako ni kwamba ufuge kuku kuanzia mia moja kwanza ili upate uzoefu. Kama unataka kufuga kuku 1000 kwa kuanzia inabidi upate afisa mifugo ili akupe ushauri wa kuaminika kuzuia hasara. contacts zake 0752576267
  14. B

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Swala la masoko ya mayai na broiler . na pia kama soko likiwa halitoshelez inakuaje? naomba ushauri wako katika hili.
Back
Top Bottom