Recent content by Basi Nenda

  1. Basi Nenda

    Kassim Majaliwa: Moyo wangu utulie niseme Magufuli alikuwa kiongozi Mzalendo

    Majaliwa wa Magu angekutana na Majaliwa wa "Mama" wangepigana sana. Majaliwa lost both his Authority and influence under the so called Mama
  2. Basi Nenda

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni

    Serikali itoe msamaha wa Kodi... Ikifa star tv fikilia familia ngapi zitakosa ugali
  3. Basi Nenda

    Andrew Nyerere: Mwanaume anayesema 9 Disemba hatuandamani, Sisi tutaandamana labda wewe utabakia nyumbani na wanawake wenzako

    Kuna mwanaJF miaka kama minne nyuma alijiuliza swali humu hivi wakati Nyerere yupo ali interact vipi na wanae hawa😂
  4. Basi Nenda

    Tetesi: Homa ya D9: Vyombo vya ulinzi (JWTZ, polisi, jeshi la magereza n.k.) kufanya usafi nchi nzima kuanzia Disemba 7

    Tanzania hakuna chombo cha ulinzi wala jeshi. Kuna vikundi vya wahalifu
  5. Basi Nenda

    Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

    Jaribu then utanambia 😊
  6. Basi Nenda

    Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

    Ndio kwa sauti kubwa 😂
  7. Basi Nenda

    Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

    Mimi huwa napiga vigeregere
  8. Basi Nenda

    Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

    Jamaa niliona video anawaaminisha watu yeye ni smart kuliko yeyote msikitini😂 Aliiba mzani wa nguruwe miaka ya 90 akawekwa ndani
  9. Basi Nenda

    Salma Kikwete: 'Energy drink' zinaharibu watoto, tutafute mbadala

    Waliosimulia hii story walisema jiwe alimuweka House arrest.
  10. Basi Nenda

    Kama kigogo wa juu wa chombo cha dola, bank statement yake inaanikwa hadharani huku ikionyesha miamala inayofanya watu wahoji; je, nini kinaendelea?

    Mjomba wangu anahusika na hiyo tume sababu ni senior gov official. Nilikuta anajaza taarifa zake online kwenye system hiyo ya tume in reality ni questionnaire unaulizwa una nyumba ngapi na za thamani kiasi gani ? Una gari ? Bank una kiasi gani na weka account number Bado unaiamini hiyo tume ?
  11. Basi Nenda

    Matumizi makubwa ya Umeme Nyumbani; Nini chanzo?

    Hapa ninapoishi ni nyumba ya wapangaji kama sita nikiwemo na mimi, naamka saa kumi na mbili asubuhi naenda kazini kurudi saa mbili usiku kila siku na naishi peke yangu nina fridge ndogo ninawasha nikirudi mara moja moja kwa lisaa limoja naizima na wala sina Tv wala pasi lakini majirani...
Back
Top Bottom