Mjomba wangu anahusika na hiyo tume sababu ni senior gov official. Nilikuta anajaza taarifa zake online kwenye system hiyo ya tume in reality ni questionnaire unaulizwa una nyumba ngapi na za thamani kiasi gani ? Una gari ? Bank una kiasi gani na weka account number
Bado unaiamini hiyo tume ?
Hapa ninapoishi ni nyumba ya wapangaji kama sita nikiwemo na mimi, naamka saa kumi na mbili asubuhi naenda kazini kurudi saa mbili usiku kila siku na naishi peke yangu nina fridge ndogo ninawasha nikirudi mara moja moja kwa lisaa limoja naizima na wala sina Tv wala pasi lakini majirani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.