Recent content by basi fresh

  1. B

    Ufalme wa Caterpillar, Komatsu, Volvo, JCB na Hitachi umeanguka. Kwenye heavy machines Mchina kapindua tena meza

    Yah ni kweli kabisa mchina anasumbua kwasasa ila kwa upande wa ubora sio kama caterpillar, kwenye izi construction issues hazipigiki kazi haswa ndio maana kiukweli customer’s wana haki ya kukimbilia kwenye option za kichina ndio maana utakuta mtu ana machine kadhaa na CAT moja kumsave. ila...
  2. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    kaka kama umecheza draft no dought kukariri ni muhimu mnoo na uwezo ni muhimu kwa ulowaona ivi kuna mtu anapiga draft la akili kama mzee noel? ila anapoteana coz hali copy mpya mara nying sisco anacheza draft kabisa unaona ili amelikariri na ndo kinamsave mnoo anacheza anacheka cheka njonjo kibao
  3. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    kwaiyo ndio sababu ya kukataa kukalia bench?? yeye sababu kubwa ni anasema hayupo tanzania.. Akipangiwa table ya dakika tano anakataa kuendelea..
  4. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    cr7 anatoa droo bro anamjua.. unless kama mkulima kaja na version mpya apo itakua balaa
  5. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    kaka mm nlipitia game za mkulima karibhni zote asee kibinaadam kwel mtu huwezi kosea hata kidogo? game alizofungwa mkulima ni either muda au ameamua kuswitch side kwaiyo atajiloozisha. amefungwa game moja tu kihalali katika loose zote zile unazoziona apart from akichezaga chineese,,tena iyo game...
  6. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    Hakuna kitu kigumu kama kumuona mtu anateka ufalme wako na ww ukiwepo bro…goli alilofungwa cr7 ile ya tege kaanzisha mwenyewe..kaitembeza kidroo kumbe sisco ana goli lake kwenye huo mguu alibaki ameshangaa tuu later on akarudisha ule mguu tena ili amuone kama dogo atachomoka,,dogo akatoa droo...
  7. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    REMATCH DOGO SISCO VS CR7 RESULTS DOGO SISCO 2 vs CR7 0 Sisco ni mkubwa sana sana🫡🫡
  8. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    ni ya mda kidgo nmeamua niilete umu jamvini..muone ronaldo hajaisha kabisa
  9. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    JAVA LOUNGE STADIUM [emoji2522] BIG MATCH BIG MATCH BIG MATCH BIG MATCH NOEL NAMALOE vs CR 7 THE SCIENTIST Mdhamini; DANY DENYO(MDHAMINI NUMBER 1 TANZANIA) CAMERA MAN: MKOREA KAMISAA : CHANDE MICHEZO : OJ + TEGE 10 KOMBE [emoji471]: 1,000,000(Winner 800,000 loser 200,000) MATCH UPDATE...
  10. B

    Umewahi muona paka wa aina hii? Anaitwaje kwa Kiswahili?

    Anaitwa MONDO.. famous Kwa jina la "wild cat" Anakula panya kama kawaida, sema anakula adi kuku,kanga Kwa kuwinda.. Apo ni mkubwa...sio kama giant cat wengine yani chui,tiger
  11. B

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Ya package ilikua kawaida sprayer ilikua inamwaga kama Bomba la mvua ila ilikua inakaa adi unajiuliza kwani Kuna difference na O.G? Nakumbuka 2020 ivi nlichukua creed lastly ilikua moto mnooo nkanunua chupa 2 daily Wana lazima wakuulize..Ile ya kishkaji "we fala ivi unatumia unyunyu gani" wengi...
  12. B

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Ni kweli usemacho ila mfano izi sauvage, saviour(by Paris corner),sauve(by global world) nyingi apa ni fake mzee,na za kupima oil zao nyingi ni low quality kaka.. Ukikuta mtu ananukia sauvage O.G no doubt ipo tofauti au ukute ya kupima mtu oil ni high quality yenyewe ndo inakaribiana na sauvage...
  13. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    Mm ni fan mkubwa wa Ronaldo..draft siku zote lipo hivyo la mabingwa discussion muhimu..na Ronaldo ana watu pia kina issa mamba.. Unakumbuka game ya issa na noel..noel akafa?? Ilikua mda kidgo issa alikua anatembea miguu ya cr7.. Ikajirudia fainali ya issa mamba na nduli je? Cr7 kashinda na...
  14. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    Mzee noel ni bingwa mda mrefu sana.. Sisco ni mkubwa Kwa madanali ila ubingwa wa kitaifa ni kuanzia apo 21 ndo jina limekua kubwa ila mzee noel ni wa mda mrefu mno
  15. B

    DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

    Nazani hukunielewa..wakati sisqo anajoin na kina nduli na noel,,bingwa alikua ni mzee noel nazani apo utakubali kwanza.. Pili kusema kutumia akili nyingi hii haipingiki man,, nenda manyanya buni mchezo wako wa style yoyote lazima atafutwe noel au mangwez(sema Sasa hachez mno),, mfano bingwa...
Back
Top Bottom