Tukiwa kama marafiki zake wa karibu tunachukua fursa hii kumtakia pole nyingi mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh.Zitto Zubeir Kabwe kwa kufiwa na mama yake leo.Hakika huu ni msiba wa kitaifa,kwasababu mama yetu Shida Salum ndiye aliyetuzalia kijana makini na hodari ambaye kwa asilimia kubwa...
Lissu bungeni anasema kuwa suala la hati ya muungano limekwisha yaani amekubali kushindwa!Lakini baada ya hapo mwanasheria huyu akachemsha.
Anasema muungano unawaonyesha waasisi wawili tu yaani Mwl.Nyerere na Mzee Karume huku ukiacha kuwatambua watu muhimu walioshiriki kuunda muungano kama vile...
Kumekuwa na taarifa inayozagaa katika mitandao y kijamii hususani Jamii Forums na Tanuru La Fikra juu ya tuhuma kwamba Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa amekuwa akizunguka nchi za Saudi Arabia kuomba misaada ya pesa na magari kwa ajili ya kujiandaa na mbio za kusaka urais...
Tatizo la wasaka tumbo ndo hili! Tunamjadili mtu aliye weka hoja badala ya kujadil hoja zake! Mtoa hoja kaweka hoja kamaunataka kupinga jibu kwa hoja kuliko matusi! Naomba kitetea hoja:
Ni kweli warioba alisha kusanya maoni kwa wananchi na kamaliza kazi yake sasankila siku kwenye vyombo vya...
I don't know Tanganyika, I have never seen Tanganyika, I don't want Tanganyika I am a Tanzanian.
I am a Tanzanian. Of blood cleaned by fresh waters of the lakes and the rivers and the streams of my great nation. A vision from the top of mount Kilimanjaro and honesty as clear as The Serengeti...
Kuna mashriti nane (8) chadema wamepewa ili waingie madarakani. Kwanza nitaanza mawili kadri muda unavyokwenda nitayataja yote!
Kikao kilochofanyika nchini wingereeza mwishoni mwa mwaka 2013 na wadhamin wa chadema mmoja anatoka ujerumani na mwingine Denmark (majina tunayaifadhi).ili waendeleh...
Ukiwa na watu wasomi lakin wanatumia itikadi kufikiri ni kitu cha ajabu sana uwezi ukatoka ulikotoka ukatunga uongo na unafiki juu ya taifa alafu ukaenda kulielezea taifa na kuaminisha watu kuwa unachokisema ni chakweli huu ni upumbavu na utumiaji wa elimu vibaya! Leo hii sisi watanzania tunaona...
Ndiyo maana mnabwabwaja bwabwaja humu ndani? Sijasema kupublish sio muhimu, nimesema publishing ni muhimu ila sio for the sake of publishing kwa akili ya kukimbilia promotion kama wanavofanya hao jamaa zako, imekwisha fahamika wazi kwamba watu wengi wanaojifanya wanapublish wengi wanapublish...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.