Recent content by Barobaro wa Dar

  1. B

    Mwanadada upo tayari kuwa na mwanaume mwenye uchumi na elimu duni?

    ... we jamaa unanivuruga sasa ... mi nataka kuoa mwanadada mwenye elimu duni ... sasa naona una malengo ya kunikatisha tamaa ...
  2. B

    Mwanadada upo tayari kuwa na mwanaume mwenye uchumi na elimu duni?

    ... sio kwamba akipata hela ana badilika ... yaan akipata hela ndo utaiona tabia yake ... hiyo ndo tabia yake na sio kwamba amebadilika ... kwaiyo pengine ungemkita tayar ana pesa basi ungemuona na hiyo tabia ambayo ww ndo kwanza umeiona na ndo unasema amebadilika... tukipata pesa hatubadilik...
  3. B

    Mnaoshauri mtu anaetafuta kazi aanzishe biashara bila kujua mazingira yake mnakera

    ... mkuu apo nimekuelewa kwa hii coment yako lkn je na ww una hizo biashara..!? isije ikawa unashaur kinadharia ... !',
  4. B

    Ni lini Open University wataita kwenye Usaili post ya lab scientist?

    ... Mkuu walioomba Lab Scientist wote hawana vigezo ndo maana hawajawaita ...
  5. B

    Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

    ... huu ni ukweli mtupu mkuu ...yaliyomo kwenye huu uzi yamo mkuu ...
  6. B

    'Mazoea' kwa wanandoa ni chanzo cha ndoa kuingia doa?

    ... cc bill nenga .. billnas .. #Hatutaki mazoea mazoea kuzoeana#
  7. B

    Majibu ya usaili WCF na LAPF

    ... mkuu LAPF naskia washaita oral .. watu wamefanya oral dodoma .. kwaiyo nakushauri usiendelee kusubiri meli kwenye bus terminal ...
  8. B

    Natafuta mume

    .. yaa maashara shabbaab manistatwaa minkumulbaab falyatazawwaj ... fanya subra mashababi waje utampata tu In Sha Allah .. japokua mm pia ni shabaab sema bado sijakua tayari kuoa ..
  9. B

    Kuitwa kwenye usaili nafasi za kazi TPA

    .. ofcourse nimeona kwny tangazo la kuitwa kwny usaili .. afterall sidhan kama hili swali lako lina mashiko mkuu ..
  10. B

    Kuitwa kwenye usaili nafasi za kazi TPA

    .. wakuu mbona kada zingine kama records assistant hazionekana .. naona wameita post za ict tu..? mwenye taarifa atujuze tafadhali..
Back
Top Bottom