Jibu swali kwa uelewa wako,uislamu ni uarabu?
Kuna kisa kimewai tokea eneo flani hapa Tz,waarabu waliingia zao bar na kanzu zao,waswahili wakatahamaki na kuzua taharuki,walijibiwa kuwa wao ni waarabu wa kikristo na kanzu kwao ni vazi la kimila tu kama ilivo wamasai na shuka zao!!
Wenye kujua dini naomba kumfahamu Mungu,Mungu ni nani?au Mungu ni nini?alafu tuendelee na hoja ya kuwepo kwake etc
Natanguliza shukrani
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Sijaona hoja ya msingi hapo...
Na kwa nini tuamini kupitia ishara pasipo kitu chenyewe?
Kama unasema tutamuona Mungu kwani kuna ubaya gan tukitaka kumuona saiv?
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mkuu rejea kwenye vitabu tena...ukristo umeanzia ulaya..kuna tofauti kubwa kati ya yesu na ukristo...!!kimsingi yesu hakuwa mtu wa bara ulaya lkn pia hakua mkristo!!ukristo umetoka bara ulaya hata yesu mwenyewe haujui ukristo maana umeanzishwa mwishoni mwa karne ya 3 baada ya yesu kupigwa zake...
Kuongezea hapo,hapo awali hapakuwepo na mabara haya tuliyonayo sasa,ilikua ni bara moja lililoungana likijulikana kama pangaea,lkn kutokana na nguvu za kitektonik bara hilo lilimeguka had kufikia kuzaa mabara haya tuliyonayo sasa,kabla ya kuvinjika kwa bara hilo jamii zote zilikua za rangi...
Wahindi weusi bado wapo,sema wanabaguliwa,huwezi kuwaona kwenye media,movies,uongozi,elimu za juu etc..lkn still bado wapo!!
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Acha ushamba dogo, umewai kusikia kitu kinaitwa sunscreen lotion? wazungu wakiwa maeneo ya jua kali hupaka hizo lotion ili kupunguza ukakasi wa miale ya jua la sivyo wanaugua skin cancer kwa sababu ya jua tu.
Lakini sisi weusi kwa sababu ya rangi ya ngozi yetu, hata tukae chini ya jua kwa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.