Mimi kwetu tumezaliwa 2 wakike tupu
Sometimes huwa natamani ningekua na kaka tubadilishane mawazo au dada mwingine mkubwa
Kwa hili nnalopitia ndo naona bora nami nifikishe hata 4 wasiwe wapweke
Hapa siongelei mambo ya ela!
Kukaa kimya bila kutangaza matatizo yako kwa watu,
Ukipata nafasi nenda kakae baharini utazame mawimbi ya bahari kwa afya ya akili yako,
Nilichogundua kwenye maisha kuna vitu lazima upitie hata iweje na unavyojaribu kukwepa ndo inakua mbaya zaidi so just face it,nakuhakikishia hakuna kinachodumu...
Na hili ndo tatizo ya hawa engineer
Anakula ela ndefu kazi anaiuza kwa fundi maiko
Asa usiombe nae fundi maiko aiuze kwa vibarua,utaloa ndani ya nyumba utasema hakuna paa🤣🤣🤣
Alafu ukute alikusanya 1m tu ye akaongeza sifuri aonekane ana ushawishi mkubwa,
Ngoja tuone kati yake na mh.nani ana strong army!
Ila akivuka hili mshaurini aache kimbelembele anguko lake litakua kubwa huko mbeleni mana anajaa kwenye mifumo ya watu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.