kwa hali nnayoishuhudia hapa vituonii.....ccm kushinda ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano....
ndio maana wanajitahid sana kuingiza kura fekiii
mdahalo hauna maaana coz nchi ipo gizan mtashuhudia watu wachache mliopo ukumbini.....so bora aendelee na ratiba yake....
alafu hao twaweza c ndio wale wazeebwa tafit fekii?????
Invalid Attachment specified. The
account might have been REMOVED
by Administrators or MERGED into
another account. If you think this is
wrong, please notify the
administrator
(AUDIO)
TAMKO LA KAMATI YA MASHEIKH NA MAIMAM WA DSM KUHUSU TAMKO LA KICHOCHEZI LILILOTOLEWA NA SHEIKH KHALIFA HAMISI WA TAASISI YA IMAM BUKHAR FOUNDATION mbele ya waandishi wa habari Jumapili ya Tarehe 11-10-2015, kwenye ukumbi wa hoteli ya Trevestline Dar es Salaam.
MAELEZO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.