asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,030
Habari wanajamvii,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo tofauti na ccm kutamba kwenye media na social media kuhusu utayari wa mgombea wao kushiriki mdahalo utakaofanyika leo tarehe 18/10/2015, duru za kiuchunguzi zinazonesha hiyo ilikuwa ni danganya toto na propaganda za kisiasa.
Leo Magufuli anaendelea na ziara yake kanda ya ziwa na sasa hivi anaelekea kwenye mkutano wake wa kwanza kwa siku ya leo huko Misungwi.
Update :
Hatimaye Magufuli aukacha mdahalo rasmi pamoja na tambo za makada wa ccm kuonesha kuwa wapo tayari kwa Mdahalo.
Ni aibu kubwa sana kwa ccm, makamba na magufuli kwa kuwalaghai Watanzania.
Mnapaswa kutuomba radhi kwa kutudanganya na kumsema mgombea wa Urais wa ukawa.
-------------
Mgombea Urais wa CCM Dr.John Pombe Magufuli, ameshindwa kuhudhulia katika Mdahalo wa Marais wanaogombea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao Unaendelea Hivi sasa.
Hapo mwanzo alitoa taarifa kwamba atashiriki, lakini dakika 45 kabla ya kuanza mdahalo, ametoa taarifa kwa waandaaji kwamba hatahudhulia, hali ambayo imepokelewa kwa hisia tofauti.
Hadi sasa Wagombea urais waliohudhulia ni wawili tu ambao ni Mgombea wa ADC Chief Lutasola Yemba, Mgombea wa ACT Wazalendo Mama Anna Mghwira huku akisubiriwa mgombea wa CHAUMA Hashim Rungwe ambaye amesema yupo airport anakuja kwenye mdahalo.
Kwa yanayojiri katika mdahalo huo fuatilia hapa => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ahalo-wa-wagombea-urais-oktoba-18-2015-a.html
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo tofauti na ccm kutamba kwenye media na social media kuhusu utayari wa mgombea wao kushiriki mdahalo utakaofanyika leo tarehe 18/10/2015, duru za kiuchunguzi zinazonesha hiyo ilikuwa ni danganya toto na propaganda za kisiasa.
Leo Magufuli anaendelea na ziara yake kanda ya ziwa na sasa hivi anaelekea kwenye mkutano wake wa kwanza kwa siku ya leo huko Misungwi.
Update :
Hatimaye Magufuli aukacha mdahalo rasmi pamoja na tambo za makada wa ccm kuonesha kuwa wapo tayari kwa Mdahalo.
Ni aibu kubwa sana kwa ccm, makamba na magufuli kwa kuwalaghai Watanzania.
Mnapaswa kutuomba radhi kwa kutudanganya na kumsema mgombea wa Urais wa ukawa.
-------------
Mgombea Urais wa CCM Dr.John Pombe Magufuli, ameshindwa kuhudhulia katika Mdahalo wa Marais wanaogombea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao Unaendelea Hivi sasa.
Hapo mwanzo alitoa taarifa kwamba atashiriki, lakini dakika 45 kabla ya kuanza mdahalo, ametoa taarifa kwa waandaaji kwamba hatahudhulia, hali ambayo imepokelewa kwa hisia tofauti.
Hadi sasa Wagombea urais waliohudhulia ni wawili tu ambao ni Mgombea wa ADC Chief Lutasola Yemba, Mgombea wa ACT Wazalendo Mama Anna Mghwira huku akisubiriwa mgombea wa CHAUMA Hashim Rungwe ambaye amesema yupo airport anakuja kwenye mdahalo.
Kwa yanayojiri katika mdahalo huo fuatilia hapa => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ahalo-wa-wagombea-urais-oktoba-18-2015-a.html