Polisi wasenge sana, walishaga wahi kunikamata pale Usa-River saa 4 za usiku nashuka kwenye bus natoka zangu Moshi eti ni mzululaji, kufika kituoni wanataka pesa, utazani walikuwa wamewekeza kwangu.
Bora hata ya mavi, maana utaweka hata shambani shamba lipate lutuba kuliko polisi
Changamoto Yako una kichwa kikubwa ila akili Yako haijai hata kwenye kizibo Cha Mo energy.
Polisi ndo walikuwa wanashika ulinzi kwenye kanisa tangu siku ya kwanza ya kufungwa kwake, vitu vimepotea nani atuhumiwe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.