Recent content by Barantogwa

  1. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Aua Mke kisa chakula na wivu wa mapenzi

    Unaoa single mother bado unakuwa na wivu wa mapenzi, ukioa bikra si utataka umfunge na kufuli la chuma?
  2. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Afisa Ardhi auawa Kilombero kisa mgogoro wa Ardhi

    Ndiyo, Ardhi imelaniwa kwa sababu ya mwanadamu. Mwanzo 3:17
  3. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Kama Hana Haya usoni, atateka, ataua, na bado atasema "Tanzania tunajali Haki za Watu "

    Usisingizie uanamke wake mkuu, Samia ni mjinga wa kiwango Cha Sgr. Kukosa kwake elimu sahihi kunaweza kuwa miongoni mwa sababu.
  4. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania MBINU MBADALA YA KUSAFISHA JF: Tuungane kuwazika "Cyber Troops" kwa kutumia kitufe cha "Ignore"

    Miaka mingi sana nilishagapiga ban hizo acaunt za hao Malaya wa siasa.
  5. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kanda ya ziwa hebu naomba mnijibu hili swali kuhusu fisi

    Fisi ni zaidi ya bodaboda, unaweza kwenda na kurudi Shinyanga to Mwanza kuhudhulia shigasho Ndani ya muda wa massa ma 3 ya usiku mmoja. Fisi apewe maua yake.
  6. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Lisu kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ktk siasa

    Lisu na Rev Mtikira ndo wapinzani wa kweli wa mda wote.
  7. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Kama ni kweli wamekufa, basi jina la Bwana lihimidiwe. Hawa mbwa coco walisimamia wazishi ya halaiki kwa vijana wetu.
  8. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Gen. Mkunda, anasema hatoruhusu Utekaji uendelee. Je, amechoka?

    Huyu ni kahaba tu, atutolee ujinga wake, kuteka wateke wao halafu anakuja kutupigia kelele sisi.
  9. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Masihi alipita hapa: Siri ya lango lililofungwa Yerusalemu

    Biblia ni kitabu Cha ajabu mno, Kila Kilichopo duniani na kinachotendeka / kitachotendeka duniani. Biblia imekiandika kazi Yako tu kusoma na kuelewa.
  10. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini?

    Polisi wasenge sana, walishaga wahi kunikamata pale Usa-River saa 4 za usiku nashuka kwenye bus natoka zangu Moshi eti ni mzululaji, kufika kituoni wanataka pesa, utazani walikuwa wamewekeza kwangu. Bora hata ya mavi, maana utaweka hata shambani shamba lipate lutuba kuliko polisi
  11. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Kama binguni kuna madini ya kila aina na ya thamani.Je yanafaida gani ikiwa hayatumiki?

    Kaka binguni ipo wilaya ya kati mkoa wa kusini unguja, Haina madini ya aina yoyote Ile zaidi ya mawe na madafu
  12. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania Utofauti huu wa umri kati ya wanandoa haukubaliki. Viongozi wa dini zingatieni maadili

    Acha kuvutia bangi chooni wewe.
  13. Barantogwa

    JamiiForums Tanzania RC Mtaka azijia juu Halmashauri kwa kukusanya ushuru kwa Wakulima ikiwa hazijamwezesha Mkulima kwa chochote

    Mtaka ni kiongozi wa watu, siyo mtawala wa watu. MUNGU amsimamie tu, maana kwa watawala tulionao hawapenzi kweli.
Back
Top Bottom