Recent content by Barantogwa

  1. Barantogwa

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Kama ni kweli wamekufa, basi jina la Bwana lihimidiwe. Hawa mbwa coco walisimamia wazishi ya halaiki kwa vijana wetu.
  2. Barantogwa

    SI KWELI Gen. Mkunda, anasema hatoruhusu Utekaji uendelee. Je, amechoka?

    Huyu ni kahaba tu, atutolee ujinga wake, kuteka wateke wao halafu anakuja kutupigia kelele sisi.
  3. Barantogwa

    Masihi alipita hapa: Siri ya lango lililofungwa Yerusalemu

    Biblia ni kitabu Cha ajabu mno, Kila Kilichopo duniani na kinachotendeka / kitachotendeka duniani. Biblia imekiandika kazi Yako tu kusoma na kuelewa.
  4. Barantogwa

    Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini?

    Polisi wasenge sana, walishaga wahi kunikamata pale Usa-River saa 4 za usiku nashuka kwenye bus natoka zangu Moshi eti ni mzululaji, kufika kituoni wanataka pesa, utazani walikuwa wamewekeza kwangu. Bora hata ya mavi, maana utaweka hata shambani shamba lipate lutuba kuliko polisi
  5. Barantogwa

    Kama binguni kuna madini ya kila aina na ya thamani.Je yanafaida gani ikiwa hayatumiki?

    Kaka binguni ipo wilaya ya kati mkoa wa kusini unguja, Haina madini ya aina yoyote Ile zaidi ya mawe na madafu
  6. Barantogwa

    RC Mtaka azijia juu Halmashauri kwa kukusanya ushuru kwa Wakulima ikiwa hazijamwezesha Mkulima kwa chochote

    Mtaka ni kiongozi wa watu, siyo mtawala wa watu. MUNGU amsimamie tu, maana kwa watawala tulionao hawapenzi kweli.
  7. Barantogwa

    PostGE2025 Kiliba: Kutomtii Rais Samia ni kukiuka maagizo ya Mungu

    Huyu kilibatumbo anatakiwa akamatwe apigwe ngenya hazarani
  8. Barantogwa

    Mfalme ‘akiuawa’ huwa inachukua muda mrefu sana Taifa kupona

    Hakuna jiwe litakalobakia juu ya jiwe
  9. Barantogwa

    Mambo Yanayotokea Kwa Mtu Akimrudia/akimwamini Yesu

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa ujumbe mzuri
  10. Barantogwa

    PostGE2025 Tuhuma za Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Gwajima kwa Jeshi la Polisi zinaweza kupelekea kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu

    Changamoto Yako una kichwa kikubwa ila akili Yako haijai hata kwenye kizibo Cha Mo energy. Polisi ndo walikuwa wanashika ulinzi kwenye kanisa tangu siku ya kwanza ya kufungwa kwake, vitu vimepotea nani atuhumiwe?
Back
Top Bottom