Yaani kaenda kuoa tena???
Huyu bado akili haijamnyooka.
Tena unaenda kuoa mwanamke kwenye nchi ya dunia ya kwanza, ni ishu ya muda tu hakuna rangi ataacha kuona.
Huyu dada anafanya biashara ya matunda usiku wa manane bar akiwa na mtoto mdogo sana mgongoni
Kwa kukadiria umri wa huyu mtoto ni miezi 2 - 5
Hii ni hatari kwa afya ya mtoto kwa sababu eneo lenyewe kuna baridi kali sana na kelele za muziki mkubwa.
Pia kuna wadada wanajiuza, halafu wakitoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.