Recent content by Barakoa 001

  1. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    Naongeza buku mbili hapo kwa juu
  2. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Nauza spea used za magari haya kwenye picha

  3. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    Nakazia
  4. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    10k nikuwekee kwenye simu sasa hivi, utamtuma boda aniletee
  5. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Kwanini mechi inapoanza (Both halves), mpira usipigwe kwenda upande wa mpinzani kama sehemu ya kuonesha "Sportsmanship" na "Fair play"??

    Mara paaap!!! Umempasia shalulile, dakika mbili kamba.
  6. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Yaani kaenda kuoa tena??? Huyu bado akili haijamnyooka. Tena unaenda kuoa mwanamke kwenye nchi ya dunia ya kwanza, ni ishu ya muda tu hakuna rangi ataacha kuona.
  7. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Pendekeza wimbo tupate list ya Nyimbo 100 zinazoitambulisha Bongo fleva

    Hii leo Sister sister by KING CRAYZ GK
  8. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

    Nani alishawahi kwenda mbinguni akarudi? Usiamini tu makaratasi yaliyoandikwa na mwanadamu ambae hajawahi kwenda na kurudi.
  9. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Sogea tuishi ndiyo ndoa inayodumu kuliko zote

    Ndoa ni makubaliano ya wawili waliopendana over.
  10. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Anafanya biashara ya matunda usiku wa manane Bar akiwa na mtoto mdogo mgongoni, Dorothy Gwajima hii ni sawa?

    Huyu dada anafanya biashara ya matunda usiku wa manane bar akiwa na mtoto mdogo sana mgongoni Kwa kukadiria umri wa huyu mtoto ni miezi 2 - 5 Hii ni hatari kwa afya ya mtoto kwa sababu eneo lenyewe kuna baridi kali sana na kelele za muziki mkubwa. Pia kuna wadada wanajiuza, halafu wakitoka...
  11. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania 5 Days Marangu Route Kilimanjaro Climbing Tour | Classic Hut Route Tanzania 2026/2027

    Ukaoge juu ya mlima Kilimanjaro??? Hata wanipe maji ya moto kama ya kunyonyolea kuku,siogi
  12. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Yale maji ndani ya nazi nani kayaweka?

    Au sukari kwenye miwa.
  13. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    Moderator Fang Nikiapload picha zinagoma
  14. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Mapini makali ya muda wote ya Hip Hop ilikuwa ni mwendo wa kutikisa vichwa tu

    Itafute bado hujachelewa
  15. Barakoa 001

    JamiiForums Tanzania Aggrey Mwanri ateuliwa Kuwa Naibu katibu Mkuu wa CCM, RC Chacha kuwa Katibu wa Oganaizesheni CCM

    Hao wa ccm wanaonekana wana uwezo wa kuongoza kwa sababu wanapewa nafasi
Back
Top Bottom