Yan raha zote humu....Niko kwenye kabar kamtaani2 peke yangu hubby kasafiri napata vibia vya baridiiiii kamziki bila kusahau Jf yan macho yote kwenye cm[emoji16][emoji16][emoji16]
Nakwambia asikwambie mtu hiyo mihogo inakera kwa kweli yan hamu yote inaisha na tena unakute mwingine hata romance hajui anataka kukusukumizia tu..Mfyuuu
Jaman Mungu yupo,miujiza bado inatendeka yan risasi zote bado kapona wakati kuna mtu anapigwa moja na anakufa.Hapa kuna kusudi la Mungu.Utukufu na heshima Kwa Jehova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.