Hello! Mabest Wa Pande Hiz. Nadhan Mpo Pouwah Kabsa.Mimi Katika Maisha Yangu Napenda Kuwa Na Marifki Weng Na Wa Sehem Mbalimbali Hi Nikutokana Na Ukiwa Na Marafiki Pia Wanakupa Changamoto Za Haya Maisha.Ila Kwa Upande Wangu Sasa Iv Mda Mwing Nmejikuta Nikiwa ALONER {mwenyewemwenyewe} hi...
Cku Zote Ishi Uwezavo,ishi Kulingana Na Uwezo Wako,ucpende Maisha Ya Copy And Pest 7bu Ujui Mwenzako Katumia Njia Gan Kupata, Unachoki0na Kwenye Movie Ci0 Vote Va Kuiga Yule Ni Mtu Anatafuta Pesa Kuptia Taaluma Hyo Nawe Jarbu Kutafuta Kivako,
Waungwana hi ni kweli! kuna dem kwel twapendana nikiwa na shda anansaidia nam pia namsaidia ila sasa ukitaka 2nda anakutel mpka 2funge ndoa, sasaiv kafunga safar kutoka Dar adi Arusha anakuja getto cha kushangaza anakuja na mdogo ake anaumri km miaka 4 iv afu kanapenda kukesha na czon.(USHAURI...
Jaman Wana Malove Nafurah Kuwakuta Bado Mpoo Na Mnaendelea Vizur, Baada Ya Mda Mrefu Kidogo Kupotea Bt 4now Nmerudi Tenah,kwa Wale Mnao Patwa Na Mikasa Ya Mapenzi Polen Sana, Pia Hongeren Kwa Wale Mambo Yanawaendea Vizur Ktk Mapenzi.NAWAPENDA JAMAN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.