Hapo ndo umechemka umekosea na hata hoja yako haina mashiko tena, huwez ukasema wakati mwngn waliaema wew ni msaliti yaan chadema nakujibu kuwa kiuhaliaia hauna hata sifa ya kuwa mwenez wa chama kama tu weredi wapo ndan ya chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata ingekua business card kitambulisho cha mpiga kura kitakusaidia nini? Au unajipanga 2020 kumpigia tena kura anko m a. G. U
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.