Yeye mademu zake wanakula bata kwenye nyumba za wizi za serikali alizoiba nakuwagawia kama njugu na miugali yake ya bure anayoshindilia na kubugia ikulu hadi kuvimbiwa nakudharau wananchi kisa hawakumpigia kura aliwekwa na NEC.
Laana hizi nyingine sijui tutazitubuje, Mungu tusaidie, mtu anabomelewa nyumba aliyojenga kwa nguvu zake akiwa na hali hii, lakini hata isipobomolewa haiathiri chochote, serikali kuweni na huruma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.