Andre02150
JF-Expert Member
- Feb 2, 2010
- 332
- 129
Wadau;
Yapata wiki ya pili sasa sipati Azam customer service kwenye namba zao pendwa.
Naomba mwenye namba inayopatikana anisaidie kwani nakwazika sana shauri signal zao zinapotea mara kwa mara. Simu yao ya Airtel na Voda zote hazipatikani.
Natanguliza shukrani.
Yapata wiki ya pili sasa sipati Azam customer service kwenye namba zao pendwa.
Naomba mwenye namba inayopatikana anisaidie kwani nakwazika sana shauri signal zao zinapotea mara kwa mara. Simu yao ya Airtel na Voda zote hazipatikani.
Natanguliza shukrani.