Recent content by Baraka Gabriel

  1. Baraka Gabriel

    Dah Tanzania pazuri sana

    Nzuri..ni wapi hapa ?
  2. Baraka Gabriel

    Dah Tanzania pazuri sana

    Yap hata mimi nimeona hilo
  3. Baraka Gabriel

    Dah Tanzania pazuri sana

    Kilimanjaro
  4. Baraka Gabriel

    Dah Tanzania pazuri sana

    Ni mkoa gani huo Tz?
  5. Baraka Gabriel

    Dah Tanzania pazuri sana

    Nzuri sana..ni wapi hapa mkuu..!
  6. Baraka Gabriel

    Dah Tanzania pazuri sana

    Tupia picha yeyote ya mji unaoishi na mandhari za kupendeza eneo uliopo uliyopiga mwenyewe kwa simu au camera na sio za ku-google,hii picha mimi nimepiga leo nikiwa Themi,Arusha haya KARIBUNI sasa:)
  7. Baraka Gabriel

    ETV waungana na WCB, Clouds mtaomba poo mwaka huu!

    Kama wewe unasikiliza haimaanishi waTz wote wanaisikiliza...kwanza hiyo Efm nasikiaga tu kwenye mitandao kuwakuna hiyo radio station,lakini huku bado sijawahi isikia...labda wanapatikana Dar tu na mikoa ya pwani tu,nadhani bado clouds fm wapo juu na wana fanbase kubwa na watangazaji wao wako...
  8. Baraka Gabriel

    Wallpaper official thread.

    Hahaa Rangooo...
  9. Baraka Gabriel

    Wallpaper official thread.

    Mount meru..???
  10. Baraka Gabriel

    Weka picha yoyote ya Mandhari hapa

    ni Wapi hapa...?
  11. Baraka Gabriel

    Tukio kubwa la kijiografia latokea Arusha: Baada ya muda mrefu sana mlima Meru waonekana ukiwa na theluji

    Hutokea kila mwaka sana sana kipindi cha msimu wa mvua na baridi
  12. Baraka Gabriel

    Tukio kubwa la kijiografia latokea Arusha: Baada ya muda mrefu sana mlima Meru waonekana ukiwa na theluji

    Yap kwa miaka yote niliopo arusha hali hii sio ya ajabu hutokea kila mwaka ...bado sijaona mwaka uliopita bila hali hii kutokea especially huonekana kipindi cha rain season na kile kipindi cha baridi kali
  13. Baraka Gabriel

    Mkoa Gani Una Baridi Kupita Yote Tanzania?

    nainokanoka Ngorongoro altitude 3000m&slopes za mount meru..
  14. Baraka Gabriel

    Wapalestina wachoma kiwanda Chao wenyewe wakipinga majeshi ya Israel!

    Ndio prove kwa mistar inayoonesha hicho unachokisema umetolea wapi hasa..!
  15. Baraka Gabriel

    Wapalestina wachoma kiwanda Chao wenyewe wakipinga majeshi ya Israel!

    Hapana,Mkristo ni yule mfuasi wa kristo(Yesu) na sio Paulo...itakuwa vyema nawe ukiweka vifungu vinavyo prove ulichokisema usiwe na maneno mengi
Back
Top Bottom