jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 11,021
- 10,683
Kuumizana huku..Mzee mbona tunatoana relini, nimehama kuangalia mandhari na kuwaza mambo makubwa
Kuumizana huku..Mzee mbona tunatoana relini, nimehama kuangalia mandhari na kuwaza mambo makubwa
WaoooooohSehemu niipendayo!![]()
ni Wapi hapa...?Heshima yenu wadau.
Piga picha kisha tuma hapa tufurahie mandhari za maeneo mbalimbali.
Binafsi natumia simu.
Kama unaedit fanya hivyo...
View attachment 694617
View attachment 694618
Hapo ni Iyovi, km 25 baada ya Mikumini Wapi hapa...?
Kuja in Chines voiceNimepamiss nyumbani![]()
![]()
Nakuja very soon.Kuja in Chines voice