Hiyo milioni nane umeipataje? umetumia muda gani kuipta hiyo milioni nane? Mi nafikiria ungeendelea kufanya hiyo kitu iliyokuingizia milioni nane, hizo biashara zingne ulizotaja ni pasua kichwa haswa kama utampa mtu. MIMI NAJUTA HAPA NA HIZI PIKIPIKI MBILI SIJUI NIUZE SCRAPERS?
London
Level 30 20 Fenchurch Street
London EC3M 3BY
United Kingdom
P:+44.20.7726.3636
F:+44.20.7726.3637
Zama zile zinarudi kwa kasi sana na hatutaki baadae tuanze kulaumiana kwamba kampuni ni hewa na wala haina ofisi. Sisi wanajamii forum kwanini tusimpeleke Mzee wetu nguli Pascal Mayala...
Wewe ndo umerukia tu, soma vizuri ishu sio brand, ishu ni uwezo wake na apewe msaada wa kuwa na brand yake na awezeshwe MTAJI na utaalamu zaidi, hapo vipi?
Kwani hujasikia hayo mawese hayana viwango na hayathibitishwa na TBS? Sio pombe tu inaua ata dawa ya meno isipokua na kiwango cha matumizi ya afya ya binadamu inaua.
Nimeshangaa sana chapuo wanazopigiwa Mh. Bashe na Zito.
Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.
Mbona hamjatoa tamko SIDO wamsaidie nae au tumpe share breweries apeleke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.