Hakuna mwanaccm mzee anaweza harakati za upinzani nchi hii.
Huyo Membe anaweza kukaa korokoroni miezi hata miwili kwa kesi za kubumba?
Watanzania lazima tujifunze kutoka na makosa, Lowassa ameacha funzo kubwa sana upinzani.
Kama kuna watu bado hawajajifunza kutokana na makosa ya upinzani...
Tatizo kubwa hawa viongozi wanafanya mambo kwa kumfurahisha aliye wateua.
Magufuli anapenda sana kuonea wapinzani, sasa akisikia mkuu wa mkoa fulani anapambana kumtoa mbunge wa upinzani anafurahia sana.
Wanayafanya haya kwa kulinda nafasi zao.
Mikutano ya vyama vya siasa ndio hujenga vyama.
Naona umegeuza makusudi badala ya kutaja mikutano ya hadhara ndio hujenga chama wewe unaleta ulofa wa kiboya kwamba ni maandano.
Wakati Cuf Zanzibar ikiwa imeshika siasa za Zanzibar suala la Muungano ndio lilikuwa agenda yao kuu katika kudai haki ya Wazanzibar.
Cuf Zanzibar ilikuwa inaamini Zanzibar bado inatawaliwa kwa mabavu na Tanganyika, hivyo Cuf Zanzibar ilikuwa na agenda kubwa ya kudai mamlaka kamili ya Zanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.