sasa kama wanafukuzwa CDM wafanyeje poa kabisa watimkie huko hamna hasara kwanza huko mafisadi ndio home,wanafki ndio sebuleni kwao sasa mlitaka waende CHAUSTA??
sasa unakoelekea kama Zitto hatakuwa baba wa watoto wako sijui ,wewe na Zitto daily kazi ipo,haya ngoja kina MWARANYA sijui na kina aweda ,saanane waje kukujibu
Sina hakika na maneno yako ni kama na wewe umetumwa na kundi flani sasa Zitto mbona hakuchukuliwa hata hiyo hatua ya awali au yeye yu juu ya katiba,halafu hawa vijana wa CDM wameshanichosha ngoja niende zangu Jukwaa la Wakubwa naona leo kumechangamka sana
Hii thread bado ipo kweli MODS wamekuwa wastaarabu,hahaha
Ila CDM lazima mjichunguze hali yenu inakatisha tamaa Kajamaa kamoja ndio kanawatikisa,halafu wajibu hoja wapuuzi sana hawana point zenye mashiko ni AUBU sana kutegemea vijana kama hawa kuongoza taifa,mtangoja sana aisee bora CHAUSTA
UVCCM ni kundi la kina dada na kina mama ambao wameachika na vijana wauza unga kama yule aliyekuwa anyongwe Uchina na wengine wanaouza ule mtandao wa nusu shilingi
Una maneno kama Radio Clouds we kweli mwezi mchanga ndio maana unaitwa saa nane yaani baada ya saa nane unalipuka hahahaa,mimi sio masalia wewe na siko kwenye level zenu usijaribu kunilinganisha na kundi la watoto wenzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.