Mke wangu alikuwa hajisikii vizuri, ikabidi nimpeleke hospital alipopimwa akakutwa presha Iko juu Sana, kumbe aliacha kunywa dawa baada ya kuombewa na Mwamposa, Doctar kamwambia utakuja kupooza ukiacha dawa
Yaani watalamu wamekaa maabara kwa miaka kupata dawa ya kutibu maradhi halafu mtu anakuaminisha unapona kwa kuombewa kwa dakika moja tu, haiingii akilini
Iko hivi kuna watu wengi Sana,wameamua kuachana na doze za dawa wanazotumia wakiwa na imani kwamba, wamepona baada ya kuombewa na Mwamposa na baadhi ya wachungaji wa amakanisa ya kilokole
Hivi inaingia akilini mgonjwa anayetumia dawa za kufubaza virusi vya ukimwi apone kwa kuombewa tu, au...
Halafu unashanga watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii wamekaa kimya hakuna anayeguswa na yanayoendelea inchini wanazani kama wao na famiria zao watabaki salama
hivi najiuliza kwa nini waitwe wahamiaji halamu? Kwani huko kwao hawawezi kutengeneze vibari vya kusafiria wakasafiri kwa amani? Na kwa nini iwe watu Somalia,Eritria na Ethiopia,na wanasafiri kwa nauli kubwa, Imegina watu wanakodi Landcruse V8
kuna wimbi la watu kutekwa kalibu kila siku, lakini vyomba vya ulinzi na usalama ambavyo ni jeshi la polisi pamoja na selikali wako kimya, sijui sababu wahanga si wanachama wa CCM, na wote wanaotekwa ni wale wanaopingana na selikali kwa namna moja au nyingine, mfano yule kijana aliyechoma picha...
Ninavyojujua mimi mnunuzi anatathimini thamani ya nyumba kwanza and then mnasubiria kulipwa,huu ndiyo utaratibu waliofanyiwa wale wa upande wa pili palipobomolewa pale
Ila wewe jamaa ipo siku tutakuja kutana wawili tu, hata uchochoroni,lazima nikuazibu akili yako ikae sawa, nitakupa viboko vya mgongoni tu mpaka uchawa ukutoke
Sasa sijui unataka nionyeshe hera ya aina gani? Maana siyo hera zote zinaringana,ingawa nakupa pole kwa ushamba wako,maana kuna hera zingine ni sawa na Madafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.