Ni busara wangeanzia chini sekondari kuliko na watu zaidi hao waliofaulu form six si masikini ni matajiri. Nani atafaulu masomo bila tuition tena kwa mada moja moja
Kila siku kununua vitu kipya badala kuendeleza vilivyopo kwa nia kutafuta sifa binafsi ya mtu. Kuona shule za kata zinazosaidia watu wengi zaidi hazina waalimu wala vifaa vya kufundishia. Shule hazina chakula. Mnataka misaada ya kibaguzi. Kuwabagua watoto kwa misingi ya akili ni dhambi. Watoto...
Wakaguzi ( regulatory authorities ) zipo lakini hazina budget. Zitafanyaje kazi? Sheria hata kama zingekuwa nzuri kiadi gani lakini si kipaumbele haziwezi kufanya kazi.
Huyu jama hapo kuangalia uhalisia isipokuwa ana haja ya kuonesha jinsi alivyo na hela na jinsi avyojua kuzitafuta. Lakini tabia ya wenye hela asili hawatumii zaidi isivyokuwa lazima. Watafuta zaidi na kutumia kidogo kuliko walichopata. Ndiyo kanuni ya pesa
Hawa kujitapa tapa hawa ndiyl malofa mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.