Israel ni nchi ndogo zaidi kuliko Rwanda na influence kubwa zaidi katika siasa za nchi ya Marekani ambayo ni powerful duniani.....sembuse Rwanda kwa Tanzania ambao hata frança yao ina thamani dhidi ya tz shilling.
Ndio maana wazungu mpaka leo wametuficha kutofautisha maana ya SCHOOLING & EDUCATION.
Baada ya kufungua tovuti ya kujenga hoja na kushauri serikali na wananchi kushirikishana kwa pa1 namna gani ya kuondoa umaskini na kuzidadavua sekta mama ya iliyoajiri watu(kilimo) iwe na tija katika kukuza...
Ukifananisha na bei ya Kenya haitakuwa ina-make ssense wakati tunayo bei elekezi iliyotolewa miaka miwili iliyopita ambayo 1800/= Tsh kupitia kinywa ccha rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania JPM....Je,bei elekezi ilitekelezeka ndio swali la msingi kwa serikali iliyopo madarakani ya awamu yya...
mwenye akili hawezi hata kidogo kupinga maendeleo yakienda Chato na Ruangwa.Ila ili kudhihilisha mwenye akili anatumia akili lazima ahoji Utaratibu wa matumizi ya pesa za walipa kodi na mipango ya kibajeti ya serikali...Leo,inajengwa Referral Hospital Chato wakati tunajua makao makuu ya mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.