Yeah ndo mambo ya JF haya kila neno utalipata. Me nimeomba msaada so kama unayo weka na kama huna potezea tu coz nazihtaji kwa haraka na nikitafuta kama vle ww usemavyo czpati directly. Nashukuru kwa msaada wako hata hvyo.
Au bikra hyo kaka? Any way uconyeshe njaa saana nenda aste aste tu kama mastory meng ya mapnz, kumjali, calls & sms mara kwa mara kifupi aamini kuwa unampenda na kumjali kuptia matendo yako. Akishakolea yeye mwenyewe atainitiate tu "baby leo nahitaji tuwe wote the whole day" Kama nakuona vle...
Tusubiri na sisi kama ile sheria ya Uganda itakuja Tz cjui inajadiliwa kwenye hii katiba mpya maana itawafaa sn watu kama shangazi yako. Kwanza hongera kwa kutopenda maana ingekuwa mwngne angeshazoea na kupenda hyo ki2. Mwambie ukiwa serious kuwa hutaki ucmuogope na kama vp toka hapo nyumban...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.