Haki ya kuchagua na kuchaguliwa ni kipande cha fupa atakaye kuja kulitafuna hayuko kwenye kizazi hiki ninaona safari ndefu yenye shida hata kufikia tulipofika na si kwa kuzingatia sheria ni utashi tu
Mwl.alisoma na kuelewa dalili za nyakati hakuona wapi atapata msaada alichagua kuto kubaliana na masharti ya taasisi za fedha ya nayo endeshwa na mataifa ya kibepari, mwl, aliamini kuyakubali masharti ya kibepari ktk nchi nikulipeleka taifa shimoni ni bora kutakata na kuamua kung'atuka...
Mijadala/makongamano yanayo fanyika kama haya yana tija ktk jamii kuto onyeshwa ktk vyombo vya habari na wachache kupata taarifa hizi kupitia mitandao ya jamii ni kuwarudisha nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari ya kuelekea kwenya ukombozi/mabadiliko ni ngumu mtapitia ktk hatua tata nyingi, kikubwa kiwango cha uvumilivu kina hitajika,kutoka kwa maccm kwenda upinzani kunachangamoto nyingi hawa jamaa wamewekeza na wana masilahi yao ndani ya ccm.ujio wa mhe Lowassa na kundi lake walikua na asilimia...
Williamson diamond mine (mgodi wa alimasi shinyanga)mgunduzi wa mgodi huu,kwa kitendo alichokifanya cha ugunduzi kwanza mgodi huu unatambulika kwa jina lake(WILLIAMSON) na la pili kwa kila mapato ya mgodi huu williamson analipwa kwa kipindi chote cha maisha ya mgodi huu ataendeliea kulipwa hii...
Maisha ya kawaida na kumuanda mwanadamu kuawa muadilifu sirahisi kutofikiria wigo wa maisha ya kiroho(dini).viongozi wengi sana0 waliyopata malezi ya kiroho(dini)wamekua wakitenda kazi zao kwa kumuogopa muungu kwa hiyo kutenganisha siasa na dini sirahisi kama tunavyo fikiri
Mmm,historia inatengenezwa na mwanadamu pengini kwa njia zisizo wazi,zilizo wazi au kutokana na mazingira yaliyopo.msuguwano huu utalete makundi makubwa mawili yaliyo na nguvu.
Mikakati imara na sahihi hupatikana kaitika migongano ya fikra zilizo tofauti na ukitaka kupata udhaifu futa kutokuwepo kwa migonagano ya fikra ambayo ndiyo chanzo cha kuchagua fikra iliyo sahii.
Baraza la uongozi la (TLS)ndio chombo peke chenye mamlaka ya kutunga sheria au kufanya marejeo ya sheria zake huyu mwanasheria mkuu ni kweli hafahamu au kazi unafanya kwa maagizo(ku remotiwa) kama alivyo fanya mwenzio Amphre polepole wa ccm alipokua kigoma kutengua mamuzi halali ya baraza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.