Mmmmh hii mpya....petroleum ajira nje nje....
Achana na zote hizo nenda chuo cha maji ukasome water resources engineering kama unataka ajira...... Ila kama unataka kuwa mmbunifu nyumbani kwenu jipeleke unapotaka kwenda
Habari zenu wakuu
Nina uhitaji mkubwa wa desk top(full set) kwa maximum price of 180,000 iwe either used au mpya
Kwa anayefahamu duka kwa dar es salaam au anayeuza used tufahamishane
Kwa mawasiliano 0677359028 au 0678129205
Napatikana ubungo kibo dar
Shukrani
Umekosea kulog in jarbu tena kwa usahh....
But mbona kila ninaye muangalizia wanaandika didn't apply including myself..... Hebu wenye experience watuambie
Hivi ukilipa ada mwenyewe na baadae heslb wakatoa majibu kuwa umepata mkopo na wakakulipia ada...inakuwaje hapo...the money is refunded or ndo inakuwa imekula upande wa boss...???
Poa big asante kwa kunipa moyo coz niliweka first priority baada ya kushauriwa kuachana na mechanical engineering ILA naomba kukanusha kuwa mimi sijasema ajira zipo za kuTosha
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....najua kwanini umesema nisikuulize COZ huna uhakika na ulichosema....
My take:-tusubiri watakao maliza mwakani tuone mwisho wao utakuwa nini....
Alafu hapa tupo kwaajili ya kuelimishana on different aspects sasa unapojua kitu alf...
Best answer... I have got an idea...kumbe diploma mpo wengi ndio maana mnasota kitaa...
By the way..kwani ni factor gan zinazotumika au mtu akizifikia hupata ajira bila tabu...????
NB;-Cjui kitu naomba unieleze kinagaubaga unavyoelewa wewe
Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa next year ndio chuo kinatoa tunda la kwanza kwa upande wa degree...
Sasa mkuu hebu tufafanulie hao wanaosota huko mtAani ni akina nani...(excluding diploma students)...
NB:-Usitumie nguvu,hasira wala kinyongo kutoa maelezo maana tunaouliza tunataka kujua coz ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.