Uko sahihi mwamba kuepuka hii mambo ni bora mtu kuwa na Kisima chako Ila tatizo ni njuluku siyo wote tuko kama wewe mwamba shida ndipo ilipo, concern yako ni sahihi kabisa.
Jamani haya maji ya tope yanayotoka bombani ni maeneo yote ya jiji la Dar au ni baadhi tu ya maeneo? Hii ni hatari, DAWASA fanyeni something kurekebisha hii hali.
Maji vipi maeneo yenu wanajamii leo?
Dah! toka asubuhi hatuna maji mpaka napoandika muda huu still nothing katika taps maeneo yetu ya Boko Basihaya, what’s going on DAWASA?
Asante mwanajamii.
Aina ya gari ni Daihatsu Terios
Napatikana Mbezi Beach Makonde namba nimetoa hapo juu,
Uzoefu niwakutosha, nimeendesha muda toka enzi za magari ya manual,
Jinsia ni mwanaume wa miaka 50+
Usajiri unakamiliki muda si mrefu,
Aina ya bima ni 3rd party.
Wana jamvi wenzangu, Nina usafiri wangu binafsi natafuta abiria, tuwasiliane kama unahitaji au kuniunganisha kwa mhitaji % ipo, nipo Mbezi Makonde Dar es salaam..
Contact 0787711528.
This issue is serious kwa mustakabali wa nchi yetu. Kwa nini wasifanye kama makampuni ya simu if at all they care! Kampuni nyingine zi compete kutoa huduma hizi shida zitakwisha kabisa na prosperity ya nchi vividly yataonekani. Let us try this please, Tanesco is killing us!
Mdahalo.
Sidhani kama Mh. Makonda ni sahihi kukutana na cream ya CDM, naona siyo size yake, ana lots of discrepancies itakuwa aibu na siyo rahisi kutoa maelezo ya kuzi clear kwa umma zikaeleweka.
Ukisikia kuwamwagia kunguni CDM Pascal kajitahidi sana, this has been for a long while now, wampe post kama aliahidiwa hivyo, and am told he went to school what’s the point of being educated? Sad.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.