Recent content by Bamvua

  1. B

    Lowassa atumia zaidi ya Sh. milioni 500 ili ashinde Tuzo ya Mwanasiasa mwenye Mafanikio katika Jamii

    Hapo ni mbinu ya kumjenga namba 4 atakaye teuliwa na ccm kugombea uraisi.
  2. B

    Kulikoni CUF, NCCR; kwa mtindo huu tutachukua nchi kweli?

    Tuwe na subira viongozi wa UKAWA watatupa mwongozo na maamuzi utakao fuatwa na vyama vinavyo unga umoja wa UKAWA, tuwaamini viongozi wetu na Mwenyezi Mungu awape busara
  3. B

    CHADEMA kurusha Chopa 5 kwenye Kanda moja katika kampeni Uchaguzi mkuu

    Tunasubiri mabosi wa anga wamejifungia sasa wanatafakari njia ya kuzuia mpango huo, wasikilize wakitoka huko...... hakuna ruksa chopa mbili kuruka kwa wakati mmoja ndani ya mkoa zitagongana, marubani wawe na uzoefu wa miaka 35 na vibali vya kuruka na kutua polisi loh !!! watabebeshwa majukumu na...
  4. B

    BAVICHA Yapasua Ngome ya CCM iliyoshindikana tokea Mwaka 1976

    BAVICHA na CHASO ni tumaini la vuguvugu ya mabadiliko Tanzania, kwa dhati tunawaunga mkono.
  5. B

    Mimi nina Akili timamu, siwezi kuwasaliti Watanzania

    Unajitambua piga kazi kamanda
  6. B

    Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

    Hii ndiyo CHADEMA Watanzania tunazidi kupata imani, hivi sasa mipango yenu kweli inatudhiirishia mna uwezo na nia ya dhati ya kutuongoza,kuwaunga mkono ni kwenye sanduku la kura.
  7. B

    Mbowe atimiza ahadi zake kwa wananchi wa jimbo lake

    Hongera kaka wa HAI pamoja na majukumu mazito ya kuleta mabadiliko ya kweli kwa taifa letu, bado unawapenda, unawakumbuka na kuwathamini watu wako.
  8. B

    BAVICHA Wapewa Tuzo Kwa Kumuenzi Nyerere

    Viongozi wa taifa BAVICHA - Baraza la vijana chadema, tuzo na picha mliopewa na familia ya muhasisi wa taifa letu lina maanisha haya, mlivyo tembea kutoka mwanza hadi butiama kupinga mauaji ya albino, muhasisi wetu naye alitembea umbali huo kuunga azimio la Arusha.mlivyo vaa magwanda naye...
  9. B

    Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

    Huo ni wimbo kama nyimbo zingine mlizo imba na zikachuja, baada ya mliowafanya Wadanganyika kuwa werevu na kamwe hawadanganywi tena, wanasubiri usawa wa sanduku la kura
  10. B

    Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

    Muungano wa UKAWA ndiyo ilikuwa kilio na matarajio ya Watanzania wengi, na viongozi wa vyama hivyo wametekeleza matakwa ya Watanzania na si Wadanganyika tena. ni kazi kumdanganya tena anajua ulimfanya akubali kumdanganya kwa maslahi yako, hawa waliokuwa Wadanganyika ndiyo watakao ilinda na...
  11. B

    One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

    kwa maneno yako ulisema UKAWA ni wasakatonge na kugawana madaraka... maneno yako yanaonyesha jinsi ulivyo mbali na vyama vingine vya upinzani je huo si usaliti ? sasa Watanzania wanapata nafasi ya kusoma rangi zako
  12. B

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akimbia Mkutano Baada ya Wananchi Kumtuhumu Kuuza Ardhi

    Wananchi wa njombe pamoja na hayo yote mnayo nafasi ya kuwahoji na kuwapima, na kuwapa majibu kwenye sanduku la kura.... mjiandikishe ili mpige kura haki yako kikatiba
  13. B

    Jimboni kwa Tibaijuka kimenuka. Wanafunzi zaidi ya 200 home. Walimu na Wanafunzi kugombea mabinti

    Kweli hawa ni watoto wetu, wadogo zetu kama kweli wapo katika hali hiyo, mamlaka husika waingilie kati kuwasaidia hawa watoto si jambo la kufurahia hata kidogo, wazazi chukueni hatua za haraka watoto wafike nyumbani.. na mkono wa MUNGU uwaongoze.
  14. B

    Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

    Lema ataudhuria mikutano mitatu tu ya kampeni uzinduzi, katikati ya kampeni atakuja kusalimia makamanda wanao ongoza kampeni na siku ya kupiga kura atakuja kupiga kura yake na kutangazwa mshindi.... aidha siku zingine atakuwa ana wapa support wagombea kwenye majimbo mengine Tanzania... hiyo...
  15. B

    UKAWA wagawana majimbo 211

    Tunasubiri tamko rasimi ya UKAWA siyo poroja la gazeti la Mtanzania. UKAWA wapo makini.
Back
Top Bottom