Kamaatakayeshitaki jini kweli itakuwa vigumu kukmjua mwenye dowans. Lakini kama atakayeshitaki ni binadamu tutamjua tu.hivi mwanakijiji pamoja pamoja na tafiti zako zote zilizo kwenda shule na makini unashindwa kututajia mwenye dowans. Mimi ni mmoja wa watu wanaokuheshimu sana ebu tusaidie...
Muongo mkubwa, anasumbuliwa na tamaa na nyege mshindo. Anashinwdwa nini kumwambia huyo jamaa yake afanye hivyo anavyotaka ili amfurahishe. Kwani atashindwa. Amwambie tu huyo mumewe nisugue ndio nasisimka sana kwanikuna tatizo. Mbona sisi wengine tunaambiwa nisugua hapa na tunasungua mambo...
wala siomaneno yakehayo katumwa kama alivyotumwa ngomalemwiru. na bado watumwa sana.jana gwiji la mafisadi limeonekana katika luninga linachangia ujenzi wa kanisa na viongozi wa kanisa wanafurhia pesa ambazo wanajua fika zimetoka wapi. inasikitisha. imaumiza na inatesa sana. HIVKWELI MAFISADI...
Hosea ondoka takukuru. Umeshaboronga unang'ang'ania nini?? Pesa umeshapata tena nyingi kwa kumlinda lowasa hata hivyo imeshindikana ameng'oka. Sembuse wewe??? Ipo siku utang'oka tu tena vibaya.wataliano wanamsemo wanasema nanukuu. 'vox populi vox dei' utajaza fisadi mkubwa.
Ndg zangu watanzania chonde chonde muwe mnatafari mambo kwa undani. Huyu jamaa kafungwa miaka yote hiyo hakuwa na pesa za kuonga hakimu na mwendesha mashittaka.Nakupongeza Mzalenndo halisi kwa kuliona hilo.Hafungwi mtu nchii kama unazo fedha bwana huo ndio ukweli wenyewe.
Hongera sana Mkuu mwanakijiji. nina mashaka sana kama watz wanakuelewa kama mmi nilvyokuelewa.nakuthamini sana na husichoke ipo siku watz watakuelewa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.